Mwendabure
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,138
- 1,042
Wakuu! Nipo Dar kwa muda wa siku 5 nahitaji mtaalam wa ku-root simu yangu tajwa hapo juu. Napatikana maeneo ya Pugu na Kariakoo. Kandamiza PM na gharama za huduma. Asante!
Asante mkuu takucheck punde.0715387545 bure
Ok bas ukifanikiwa nijulishe ninashida kama yako
Naomba kufahamishwa; Ku-root simu kuna saidia nini?
kwan ugumu upo wapi njia rahisi ya kuroot simu nyingi kama ukiwa na custom recovery unaflash superSU zip tayari
kwan ugumu upo wapi njia rahisi ya kuroot simu nyingi kama ukiwa na custom recovery unaflash superSU zip tayari
nipe model yake full