Huu mtaa wetu mi nadhani Malaika hapa wanatembelea masaa 24,Maana nyumba za Ibada km zote zimepangana zinashindana vipaza sauti tu ... Vp huko kitaani kwako?
Mtaani kwetu kuna amani sana watunwanaishi kwa kushikiana sana...yaani hata leo ww ukiamua kuja kulala kwa mke wa mimi au mimi kuja kulala kwa mke wako haina shida...tunasaidiana sana kwa kweli
Mtaani kwetu kuna amani sana watunwanaishi kwa kushikiana sana...yaani hata leo ww ukiamua kuja kulala kwa mke wa mimi au mimi kuja kulala kwa mke wako haina shida...tunasaidiana sana kwa kweli
Huku kijijini ni miti ya miembe, watu wako peace tu, kuna kilabu cha kaachini hapo pembeni kuna kanisa, full kelele, kilabuni rumba kanisani kwaya vurugu kama lote