Unaona sasa tatizo lenu kuu? Mnaleta mambo ya dini kwenye kanuni za utatuzi wa migogoro ya karne ya 21? Nyakati zimebadilika ndugu yangu na wapalestina yahitaji wabadilike kama kweli wanalitaka taifa. WaIsrael wakati kwenye negotiating table hawaendi na biblia na vitendo vyao on the ground hawafanyi kama watu waishio karne ya saba. Wakina Yasser Arafat, akina Hamas, akina Islamic jihad, na wengineo wa caliber ile wanajenga hoja zao kidini, mara wawaite wayahudi pigs and rats waliolaaniwa na Allah kwenye Quran, mara hivi mara vile, na wewe naona umeongezea ya kwako --Ni nani aliyemsaliti MUSA kuondoka Misri kama sio Muyahudi mwenzie? Sawa, endelea kuamini hivyo kama kweli taifa linapatikana kwa njia hiyo.
Dogo, usitoke nje ya mada,hiyo focus unayo tuhumu, (Black&White)IPO wapi kama sio unafiki, lete falsafa ya siasa ikiambatana na mnyambuliko wa jamii.... rejea Maandiko yapo Ukutani!!!!!