Hahaha, Hill Road inakuwa "Yasser Arafat Road"?
Might as well, the place is hardly recognizable any more, what with the boxy monstrosities rising up like mushrooms everywhere.
Wakazi waliulizwa lakini? Au ndo undakindaki tu?
Hill Road kwangu mimi imekaa vizuri kulikoni kubadili kwa ajili ya kutukuza jina la mtu aliyefanyia Tanzania zero hakuna sababu ya kulitukuza jina la Yasser Arafat kwetu sisi watanzania kwani kaifanyia nini Tanzania??? Bora hata lingechukuliwa jina la mkuu mmojawapo wa mikoa ya Tanzania ndo liitwe huo mtaaI hope mtao huo wa Ramalah utakaopewa hilo jina utakuwa important,siyo kichochoro kama Hill Road.
Hill Road kwangu mimi imekaa vizuri kulikoni kubadili kwa ajili ya kutukuza jina la mtu aliyefanyia Tanzania zero hakuna sababu ya kulitukuza jina la Yasser Arafat kwetu sisi watanzania kwani kaifanyia nini Tanzania??? Bora hata lingechukuliwa jina la mkuu mmojawapo wa mikoa ya Tanzania ndo liitwe huo mtaaI hope mtao huo wa Ramalah utakaopewa hilo jina utakuwa important,siyo kichochoro kama Hill Road.
Akili za kitumwatumwa hizi sijui zitaishaga lini vichwani mwetu. "Yasser Arafat" road? huyuhuyu Arab terrorist naye anaenziwa hapa Tanzania hadi anapewa barabara? Hivi tumekosa kuwatambua watanzania wenzetu wapigania uhuru wa taifa letu, wenzetu waliojitolea maisha yao kulinda mipaka ya nchi yetu, watu waliojitolea nguvu zao, akili zao na uzalendo wao katika kulitumikia taifa letu hadi anatafutwa mtu tu wa pembezoni mashariki ya kati ambaye ukichunguza tu legacy yake duniani ni fujo za kisiasa na kidini dhidi ya jirani zake? I hate this.
Terrorist?????????? Remember Mandela was still in the list of ‘terrorists' of the CIA even after he became president of the RSA, so it doesn't appeal to me to call Arafat an Arab terrorist. It sounds racist, Islamophobic and Arab-phobia. I'm neither an Arab nor a Muslim but I hate it when people are labelled as terrorists for their skin colours or their religious beliefs.
kwa vile tafsiri yako terrorist ni mwislam basi utapata shida sana. hivi wewe bwe.ge ni yupi terrorist halisi kati ya mpalestina aliyenyang'anywa ardhi yake na jiyahudi lililonyang'anya. you should see psychiatric otherwise mirembe panakufaa sana.
Labda atumiwe kitabu cha SIVALON na kile cha MUSLIM AND THE STATE ndio atajua
lakini pia usisahau kuwa si kila Mpalestina ni musilam au kila mwarabu ni musilam
afterall mafundisho ya uuislam ni kuwa ISLAM first before nationality.
ohhh btw
Nyerere ndio chanzo cha Mfumo Kristo Tanzania
Terrorist?????????? Remember Mandela was still in the list of ‘terrorists' of the CIA even after he became president of the RSA, so it doesn't appeal to me to call Arafat an Arab terrorist. It sounds racist, Islamophobic and Arab-phobia. I'm neither an Arab nor a Muslim but I hate it when people are labelled as terrorists for their skin colours or their religious beliefs.
Ni mambo ya kipuuzi kwa serikali hii ya kipuuzi, bora mngeeiita mkwawa road au mangi meza road, acheni ujinga huu wa kipuuzi, alafu upuuzi huu upo tanzania pekee!
Akili za kitumwatumwa hizi sijui zitaishaga lini vichwani mwetu. "Yasser Arafat" road? huyuhuyu Arab terrorist naye anaenziwa hapa Tanzania hadi anapewa barabara? Hivi tumekosa kuwatambua watanzania wenzetu wapigania uhuru wa taifa letu, wenzetu waliojitolea maisha yao kulinda mipaka ya nchi yetu, watu waliojitolea nguvu zao, akili zao na uzalendo wao katika kulitumikia taifa letu hadi anatafutwa mtu tu wa pembezoni mashariki ya kati ambaye ukichunguza tu legacy yake duniani ni fujo za kisiasa na kidini dhidi ya jirani zake? I hate this.
kweli ndugu ya hata majina yako unayotumia ni ya kiingereza arsenalised one mfumo kristo ndio huo au?"Mfumo kristo na kanisa vinafanya kazi mpaka palestina"...noma kweli mshikaji wangu
Dogo wacha matusi, sio asili yako wala wazazi Wako hawajakulea ki-hivyo. Falsafa ya siasa za kimataifa zinatambua uwepo wa taifa la Palestina, nakushauri jiunge na elimu ya Chuo kikuu, chochote hapa duniani, soma siasa, ukifika mwaka wa pili tu utagundua tofauti, kamwe huwezi kuandika PUMBA kama ulivyo sasa, else usichanganye imani ya dini za kilokole na siasa.JF ni kwa hoja zenye mantiki hususan jukwaa la siasa.
Akili za kitumwatumwa hizi sijui zitaishaga lini vichwani mwetu. "Yasser Arafat" road? huyuhuyu Arab terrorist naye anaenziwa hapa Tanzania hadi anapewa barabara? Hivi tumekosa kuwatambua watanzania wenzetu wapigania uhuru wa taifa letu, wenzetu waliojitolea maisha yao kulinda mipaka ya nchi yetu, watu waliojitolea nguvu zao, akili zao na uzalendo wao katika kulitumikia taifa letu hadi anatafutwa mtu tu wa pembezoni mashariki ya kati ambaye ukichunguza tu legacy yake duniani ni fujo za kisiasa na kidini dhidi ya jirani zake? I hate this.
I hope mtao huo wa Ramalah utakaopewa hilo jina utakuwa important,siyo kichochoro kama Hill Road.
haya nimekusikia. sasa kinachowazuia wapalestina kuwa na taifa lao ni nini? tatizo lako na la wengine kama wewe mnatafsiri mambo in black and white, palestina wanaonewa, wayahudi ni waonezi. basi. na mentality hiyo haiwasaidii chochote miaka nenda miaka rudi mpaka pale mtakapokubaliana na hali halisi. na hali halisi ni kwamba baadhi ya madai ya wapalestina hayatekelezeki na hilo ni gumu sana kwenu nyie kulitambua, okay?
Dogo, acha unafiki siku hizi mambo hadharani mchana kweupee!!! pure white, wacha rangi rangi. Kumbe na wewe kama wao!! Ni nani aliyemsaliti MUSA kuondoka Misri kama sio Muyahudi mwenzie? MAANDIKO YAPO UKUTANI!! na mwenye macho....
Lakini tunaambiwa Nyerere alikuwa dhidi ya Waislamu na Uislamu... hawakumuuliza hilo huyo Balozi au kina Mohammed Said hawajasoma hii habari?