Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 630
bora yeye anaweka hadharani wako wanaomzidi ila kwa kuficha!
kwa nini hii wasianzishe tz tuwe tunapigana vikumbo taifa pale shamba la bibi kuona vibinti toka vikindu chamanzi na tandale na masaki vikipita mbele ya .......................... hahaaaaa
Hiyo ni noma kweliHuyu jamaa nasikia anatengewa bajeti ya viagra tani moja kila mwaka na serikali.
Utakuwa umelewa hivi vinyonyo tu!