Msuto wa Snowhite na FP

Rada zako zipi hizo Arushaone? nifahamishe rafiki. Mie nikikuona tu jamvini najua nina like yangu ya bure bila chenga!

Great!! Nilitaka tu nisikie sauti yako na nimeshaisikia. Tulisongeshe...
 
Last edited by a moderator:

wifi yangu snowhite nakuona unavyoitiwa kikao napata wasiwasi huyu shosti yangu Kongosho alibata mchumba siku si nyingi akatanguliza alipiwe kodi ya nyumba kwanza ha ha ha haaa! Toa msaada vikao vya harusi vinaanza wewe na FP nawaaminia, Bishanga ndo mwenyekiti wa kikao hakuna cha DJ, shosti kanusa bepari la kihaya litamwaga pesa haswa!
 
Last edited by a moderator:
jamani nimepitwaje??? kulala saa 3 na umeme wa mgawo ni janga! haya nipo na bikini tu, nawahi kuja suta mtu, niwe upande wa nani hebu puteni!! upande wa snowhite au Kongosho! lol
 
Last edited by a moderator:

umejuaje? nani kakutonya hako ka siri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…