ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,048
- 49,731
Mamlaka zifuatilie haya madai ya Msumbiji kwamba Wasafirishaji Wengi na wakubwa wa Madawa ya Kulevya iliowatia nguvuni wanatokea Tanzania hasa Jiji la Dar isije kuwa wanaichafua Nchi yetu Kwa sababu wanazozijua wao.
Hizi sio habari nzuri Kwa Nchi yetu na hapa tuna maswali ya kujiuliza,Kwa nini iwe Tanzania?
Hizi sio habari nzuri Kwa Nchi yetu na hapa tuna maswali ya kujiuliza,Kwa nini iwe Tanzania?
Mozambique: Most drug trafficking is from Ethiopia, Tanzania and Brazil
The largest number of drug traffickers arrested in Mozambique came from Addis Ababa (Ethiopia), Dar-es-Salaam (Tanzania) and São Paulo (Brazil), according to the Mozambican Tax Authority (AT). According to AT spokesperson, Fernando Tinga, in terms of routes the most worrying flights are those tha
clubofmozambique.com