kukumsela
JF-Expert Member
- Oct 13, 2018
- 721
- 907
Huyu mwamba ambaye katika Himaya ya Utwitani ni Maarufu kwa Id ya Msouth Madenge nilichokigundua huyu jamaa anauwezo Mkubwa wa kuchambua mambo kwa haraka zaidi yaani kwa lugha nyepesi ni mtu mwenye uwezo wa kiakili (mental ability) wa kiwango cha juu, unaofanya jambo la kiakili kwa haraka, kwa usahihi wa kiwango cha juu na hii inawezekana jamaa anasoma sana vitabu jambo ambalo wenzake wakina Masanja,Mussa Kipanya na Swebe na wengine wengi hawawezi kufanya hivyo
Pia Nadhani ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa kufikiri kuliko watangazaji wenzake katika kipindi hicho hapo Efm.
Mwisho Ningependa kupata michango yenu wanajamvi kuhusu Elimu yake kwa Ujumla.
Nawasilisha
Kukumsela
Pia Nadhani ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa kufikiri kuliko watangazaji wenzake katika kipindi hicho hapo Efm.
Mwisho Ningependa kupata michango yenu wanajamvi kuhusu Elimu yake kwa Ujumla.
Nawasilisha
Kukumsela