puppa
JF-Expert Member
- Oct 5, 2015
- 379
- 176
Kwa taarifa nilizozipata hivi punde ni kuwa watu 4 wamekamatwa na kuchomwa moto wakiusishwa na tuhuma za wizi kupatikana na mabox ya kura, tukio hilo limetokea kijiji cha msongola nje kidogo ya Mbagala.
Nasubiria nitumiwe picha then ni ziupload hapa.
======
UPDATE:
Kwa mujibu wa Jeshi la Polisi na NEC, hakuna kitu kama hiki maeneo ya Msongola.
Mjadala umefungwa
Nasubiria nitumiwe picha then ni ziupload hapa.
======
UPDATE:
Kwa mujibu wa Jeshi la Polisi na NEC, hakuna kitu kama hiki maeneo ya Msongola.
Mjadala umefungwa