Msongamano isiwe sababu ya unyanyasaji wa kijinsia

Suhendra

JF-Expert Member
Nov 25, 2023
1,082
2,472
Salamu kwenu wakuu.

Katika kipindi hichi cha ongezeko la nauli tunazidi kuona mengi hasa sie tunao tumia usafiri wa public tuna kumbana na kero nyingi mno

Asilimia kumbwa wanaofanya kazi mjini tuna tegemea tren kama usafiri wetu hii haipingiki

Kupanda treni sio shida, shida yanayo jiri humo kuna baadhi ya wanaume wana tumia frusa hiyo kubambia makinikia.

Aisee. Hii ni kero kubwa kwa sisi wadada yaani unakuta libaba limekung'ang'ani habanduki jamani tusi sahau maadili yetu ya ki Tanzania.

Ombi kwa Serikali watenge mabehewa kama wanavyo tenga vyoo.

Kuna watu wana tembea na hiyo frusa za kukamatia Pisi, kisa msongamano wa watu.
 
Sidhani kama hili kwa pisi zenye furushi ni tatizo .

1702099273393.jpg
 
Ushauri mzuri, na waoneaga huruma. Sasa ntawakomesha
kuwa na moyo wahuruma mama,inatakiwa uwanengulie kabisa ila nahisi nanyi mnapenda,kunasiku nilikuwa natoka tandika sa mbele kuna mdada mwenye mshepu akawa anasogea kunibana na mkwepa anasogea tena namkwepa sa kuna kile kipindi konda anapanga abiria si akamwambia yule dada asogee kalibu yangu ,basi akajambele yangu akanibana halafu akainama kumcheki ni kama hajavaa kitu ndani,aisee akawa anakatika kabisa nikaanza kemea kwa jina la yesu lakini wapi kumbe mzee kichwa ashaonja joto la msambwanda nikabaki kusikilizia utamu tu,alivaa vibai bui fulani hiv vilaini ndani hana kitu afu kafungashia kweli,alipotaka kushuka kituo kinachofuata aliniambia kichinichini we kaka jiandae nataka kushuka bas nikaanda mazingira ya kukwepa kuumbuka ila nahis naye alikojoa si kwamiuno mgando ile
 
Back
Top Bottom