Msiwakatae watoto wenu

Msiwakatae watoto wenu

IDyangu

Member
Joined
Apr 24, 2014
Posts
99
Reaction score
22
Chondechonde, kwa wale wanaowakataa watoto wao wakiwa tumboni au baada ya kuzaliwa hasa wanaume. Jamani mnawapa shida watoto wenu.

Roho za kukataliwa zinawatesa sana. Hata ukijamkubali baadae kwamba ni mtoto wako, wewe mwenyewe(mzazi) utaona kama hakujali, hakuheshimu(mtoto) vile.

Kumbe sivyo ni ile roho inakutesa mzazi. Kwa hiyo kama uko responsible na ujauzito wewe kubali kulea kwani hukujua matokeo yake?

Usimkane mtoto hata kidogo ni mbaya sana.
 
Chondechonde!! kwa wale wanaowakataa watoto wao wakiwa tumboni au baada ya kuzaliwa hasa wanaume. jamani mnawapa shida watoto wenu. Roho za kukataliwa zinawatesa sana!! Hata ukijamkubali baadae kwamba ni mtoto wako, wewe mwenyewe(mzazi) utaona kama hakujali, hakuheshimu(mtoto) vile. Kumbe sivyo ni ile roho inakutesa mzazi. Kwa hiyo kama uko responsible na ujauzito wewe kubali kulea kwani hukujua matokeo yake? Usimkane mtoto hata kidogo ni mbaya sana!


mbaya sana
 
Umetuasa kwa utaratibu, nasi tutajitahidi kuzingatia. Nanyi pia jitahidini kuwa wasafi wa moyo, mambo ya kubambikiana mimba msidhani yanabebeka kirahisi vifuani mwetu.
^^
 
Chondechonde!! kwa wale wanaowakataa watoto wao wakiwa tumboni au baada ya kuzaliwa hasa wanaume. jamani mnawapa shida watoto wenu. Roho za kukataliwa zinawatesa sana!! Hata ukijamkubali baadae kwamba ni mtoto wako, wewe mwenyewe(mzazi) utaona kama hakujali, hakuheshimu(mtoto) vile. Kumbe sivyo ni ile roho inakutesa mzazi. Kwa hiyo kama uko responsible na ujauzito wewe kubali kulea kwani hukujua matokeo yake? Usimkane mtoto hata kidogo ni mbaya sana!

Tatizo liko hapo,hakuan uhakika kama kweli hiyo mimba ni ya mlengwa. mfano mimi huwa siwaamini wanawake kwenye hayo mambo kwa hiyo ikiokea issue ya mimba lazima ntakua na mashaka na kujiuliza maswali mengi. mambo ya kulengeshana nani anayataka,upachikwe mimba na mshkaji mwingine uje kunipakazia nani anataka
 
Tatizo liko hapo,hakuan uhakika kama kweli hiyo mimba ni ya mlengwa. mfano mimi huwa siwaamini wanawake kwenye hayo mambo kwa hiyo ikiokea issue ya mimba lazima ntakua na mashaka na kujiuliza maswali mengi. mambo ya kulengeshana nani anayataka,upachikwe mimba na mshkaji mwingine uje kunipakazia nani anataka

Kwani hadi upakaziwe unakuwa hujashiriki nae mchezo?
 
Izo sababu za kijinga kwani DNA maana yake nini kuna jamaa aliwai kufanya ivyo 20 yrs ago na sasa ni mzee hana hata wa dawa na yule alir mkataa ni photocopy yake mama wa mtt alimjibu tu kama umekataa huyu mtt wako mungu atakupa zaidi ya huyu tena wazuri ilikuwa ni laana kubwa mpaka leo namjua mpaka mkewe sio vizuru tu kuwaanika humu ndani.
Tatizo liko hapo,hakuan uhakika kama kweli hiyo mimba ni ya mlengwa. mfano mimi huwa siwaamini wanawake kwenye hayo mambo kwa hiyo ikiokea issue ya mimba lazima ntakua na mashaka na kujiuliza maswali mengi. mambo ya kulengeshana nani anayataka,upachikwe mimba na mshkaji mwingine uje kunipakazia nani anataka
 
Muache kupanga wanaume hadi unakuwa hujielewi mimba ya nani, unabambikia tu mwenye afueni ya maisha.
 
Umetuasa kwa utaratibu, nasi tutajitahidi kuzingatia. Nanyi pia jitahidini kuwa wasafi wa moyo, mambo ya kubambikiana mimba msidhani yanabebeka kirahisi vifuani mwetu.
^^

hahahaaaa.... Mkuu himidin umetoa msg nzuri sana
 
Last edited by a moderator:
Izo sababu za kijinga kwani DNA maana yake nini kuna jamaa aliwai kufanya ivyo 20 yrs ago na sasa ni mzee hana hata wa dawa na yule alir mkataa ni photocopy yake mama wa mtt alimjibu tu kama umekataa huyu mtt wako mungu atakupa zaidi ya huyu tena wazuri ilikuwa ni laana kubwa mpaka leo namjua mpaka mkewe sio vizuru tu kuwaanika humu ndani.

In red. Sawa

In blue: Unawezaje kupima DNA ya mimba ya mwezi mmoja au wiki kadhaa ili kujiridhisha kua kweli mtoto alieko tumboni ni wako ili ulee mimba?Je nikubali tu kua mimba nimeitungisha mimi alafu mtoto azaliwe awe ni wa mtu mwingine je utanilipa fidia?.

In green: Sio kila mtu itamtokea na haina uhusiano na kukataa mimba.
 
Wacha kuendeleza ujinga kama huna imani na huyo dada kwa nini unafanya nar bila condom ulipokuwa unamkojolea ulijua unapanda mbegu gani.
In red. Sawa

In blue: Unawezaje kupima DNA ya mimba ya mwezi mmoja au wiki kadhaa ili kujiridhisha kua kweli mtoto alieko tumboni ni wako ili ulee mimba?Je nikubali tu kua mimba nimeitungisha mimi alafu mtoto azaliwe awe ni wa mtu mwingine je utanilipa fidia?.

In green: Sio kila mtu itamtokea na haina uhusiano na kukataa mimba.
 
Wanaume wengi wanabambikiwa ndo maana wachaga tunawafanyia mila ya kuua kama si wa ukoo wenu
 
Hii imemtokea mzee wangu pia sasa umri umeshaenda na hakufanikiwa kupata mtoto mwingine anatamani niwe upande wake ila nafsi imekataa kabisa.
Izo sababu za kijinga kwani DNA maana yake nini kuna jamaa aliwai kufanya ivyo 20 yrs ago na sasa ni mzee hana hata wa dawa na yule alir mkataa ni photocopy yake mama wa mtt alimjibu tu kama umekataa huyu mtt wako mungu atakupa zaidi ya huyu tena wazuri ilikuwa ni laana kubwa mpaka leo namjua mpaka mkewe sio vizuru tu kuwaanika humu ndani.
 
Back
Top Bottom