bikira latifah
JF-Expert Member
- Oct 27, 2016
- 836
- 2,805
Hii nchi bwana mitandao ya sim kwa sasa kila mtu anauza router wanaita unlimited router lina kilo 3 ukinunua hiyo ndio wanaanza kukuuzia bando kuanzia 70000 kwa mwezi unlimited
Sasa nikawauliza so ninunue huo mzigo niwe naubeba mgongoni mda wote au niwe nauacha sehem moja tu?
Nikawauliza kulikuwa na ugum gani mtu kuwa na bando la unlimited moja kwa moja kwenye sim yake why mlazilmishe kununua hayo makopo
Sasa nikawauliza so ninunue huo mzigo niwe naubeba mgongoni mda wote au niwe nauacha sehem moja tu?
Nikawauliza kulikuwa na ugum gani mtu kuwa na bando la unlimited moja kwa moja kwenye sim yake why mlazilmishe kununua hayo makopo