Msitiri anahitajika (MUME)

Aamin. Nakushukuru tena na tena. Hekima yako ni kubwa mno. Mola akujaalie pale linapokupungukia!
Allahuma Amin...
Sintotulia hadi nimsikie shemeji akinisalimia kwa Uwezo wa Allah-aRahimu !! kwani amethibitsha hili kwa kusema "Niombeni niwaitikie"
*{ ad3uni astajib~Lakum}*
 

Aaaah, miaka 30 kwa 33 sio mingi sana GCM_RCM mpe nafas mdau huyo,bi Aisha aliolewa na Mtume,walitofautiana ki umri,,,,,
 
Last edited by a moderator:
Aaaah, miaka 30 kwa 33 sio mingi sana GCM_RCM mpe nafas mdau huyo,bi Aisha aliolewa na Mtume,walitofautiana ki umri,,,,,

Mkoroshokigolihunitakii mema jamani, nduguze watasema namuonea ndugu yao. Hivi unajua ndugu wanavyokuaga wakorofi hasa kwenye mambo ya umri, yani bora ingekuwa tunalingana, lakini hii ni tofauti ya kuonekana. Kumbuka wanaume hamchoki haraka. halafu jamani unafananisha na Bi Aisha, wale walijaaliwa imani ya hali ya juu ambay sisi hatuna. Nielewe tu hii ni kwa nia njema na si vinginevyo!
 
Tunashukuru kwa kutukumbusha (Bi.Khadijah !!!, radhi ya Allahu kwake)
BarakaAllahu~fikum (God blesses) FYI, bi Khadijah alikuwa ana biashara zake na alikuwa na mtaji wa kutosha... hivyo nawe wa wezaiga na kufuata khatuwa hizo kwani Moula hupenda Wanaume wenye kuoa binti yatima (kuna fadhila maalum) na hupenda Mwanamke atakae mnyanyuwa mwenza kimaendeleo !! (fursa hiyo uwe miongoni mwa changamoto za kidunia) na huko L akhera uwe minna L faizina !! AMIN
 

Aaaaaamin aaamin Allah amjaalie dada yetu apate aliye na kheri na yeye
 
Last edited by a moderator:
Aaaaaamin aaamin Allah amjaalie dada yetu apate aliye na kheri na yeye
In-Shaa-Allah hata akitaka mume Mwaarabu ntamtafutia ilimradi atimize ndoto na pendo la uhai wake, Japo kaibaguwa rangi.....
Lakini atapata hivi karibuni, kuna dozi nimempa (Qiyamu LyL
GCM_RCM ukifikia uamuzi usisite kunishauri..
 
Last edited by a moderator:
naomba msaada kutuma pm unafanyaje ili niwasiliane na huyu mhitaji?
 
mh! haya ndugu nimekuelewa. Nashukuru kwa muda na ushauri wako.

usikosee kunielewa.
kawaida ya uafrika (angalau kwa siku hizi) mtu mume hutafuta mtu mke na kumshawishi ili amuoe. wakikubaliana ndipo michakato ya ndoa huanza.

kwa umri ulionao kama umetuambia sahihi ilipaswa uwe umekutana na mitongozo mingi sana, katika hili misimamo na mivigezo hutibua mambo sana kwa wadada.
unasubiri au kumkubali mtu anayekupotezea muda wa ku experience maisha ya mapenzi unakuja kushtuka umechelewa sana, kila atakayekutokea anakutana na mpenzi mzigo, anaamua kula kona na kukuachia maumivu ya moyo.

ujeuri umebebwa na kiburi kinachosababisha dharau (mi nna bachelor huyu nae na mitumba yake!!!) unaishia kuwanyali wanaume ukija kushtuka unaifukuza 40.

ukitaka kugongwa na treni kalale relini, ukiisubiria treni kwenye barabara ya lami utazeekea hapo.

nina maana walipo wanaume nawe uwepo ni lazima utamvutia mmojawapo au hata wanaweza kukupigania. Haya yote unayaweza ukijitenga na dharau.

ukifika 40 choice zinapungua, binti yangu akifika umri huo nikawa sijaletewa posa ni lazima nikubaliane na matokeo, (Namuomba YEHOVA hilo lisitokee kwa binti yangu)

usifikiri nimekudharau au sijawa na huruma juu ya tatizo lako, Bali ukisoma kwa uangalifu katikati ya maneno yangu kuna hekima kubwa ya ndoa.

Nasubiri kadi ya mchango wa sendoff.
 
kama kweli uko serious njoo inbox tukubaliane na kufahamiana zaidi...inshaallah
 
Eiyer; nimependa ushauri wako sana, nahakikisha nitaufanyia kazi bila mapungufu. Mungu akubariki sana.
Tubarikwe sote bibie kwani lengo ni kuyafanya maisha yawe mepesi....

Ukilegeza masharti unakuwa umejiweka kwenye mazingira makubwa zaidi ya kupata,lakini kuwa makini sana na wanaoku PM....

Nakutakia mafanikio sana
 

Hupati mume. Machinoo sana, na halafu used sana yaani old mamalia. Labda small house.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…