The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Wakuu naomba kuwakumbusha kwamba Android 13 ilishatoka toka mwaka Jana August na kwa Samsung imeanza kutoka October 22.
Simu yangu ilipata updates October 22, hivyo natumia Android 13 toka kipindi hicho.
Kitu kimoja nilisahau nimependa na ningependa kuwashirikisha ni uwezo wa kutokuonyesha nani anakupigia hadi pale utakapotoa lock ya simu.
Kama simu iko locked na mtu akapiga, haitoi mwanga wala kuonyesha jina zaidi ya mlio wa kuita/ringtone kuna mtu anakupigia. Hivyo ili kuona jina la mtu lazima utoe lock.
Hii ni feature nzuri kwa wale wazee wa nyumba ndogo.😂
Anyway, nawakumbusha tu, msisahau ku-update Android zenu. Wale wapenzi wa Samsung, tutegemee mambo mazuri kwenye Galaxy Unpacked tarehe 1 Februari 2023.
Simu yangu ilipata updates October 22, hivyo natumia Android 13 toka kipindi hicho.
Kitu kimoja nilisahau nimependa na ningependa kuwashirikisha ni uwezo wa kutokuonyesha nani anakupigia hadi pale utakapotoa lock ya simu.
Kama simu iko locked na mtu akapiga, haitoi mwanga wala kuonyesha jina zaidi ya mlio wa kuita/ringtone kuna mtu anakupigia. Hivyo ili kuona jina la mtu lazima utoe lock.
Hii ni feature nzuri kwa wale wazee wa nyumba ndogo.😂
Anyway, nawakumbusha tu, msisahau ku-update Android zenu. Wale wapenzi wa Samsung, tutegemee mambo mazuri kwenye Galaxy Unpacked tarehe 1 Februari 2023.