Msisahau ku-update Android zenu kwenda Android 13

The Assassin

JF-Expert Member
Oct 30, 2018
4,355
17,321
Wakuu naomba kuwakumbusha kwamba Android 13 ilishatoka toka mwaka Jana August na kwa Samsung imeanza kutoka October 22.

Simu yangu ilipata updates October 22, hivyo natumia Android 13 toka kipindi hicho.

Kitu kimoja nilisahau nimependa na ningependa kuwashirikisha ni uwezo wa kutokuonyesha nani anakupigia hadi pale utakapotoa lock ya simu.

Kama simu iko locked na mtu akapiga, haitoi mwanga wala kuonyesha jina zaidi ya mlio wa kuita/ringtone kuna mtu anakupigia. Hivyo ili kuona jina la mtu lazima utoe lock.

Hii ni feature nzuri kwa wale wazee wa nyumba ndogo.😂

Anyway, nawakumbusha tu, msisahau ku-update Android zenu. Wale wapenzi wa Samsung, tutegemee mambo mazuri kwenye Galaxy Unpacked tarehe 1 Februari 2023.

Screenshot_20230116_073058_Settings.jpg
 
Mi yangu kila siku inanipa notification ya ku update lakini naiogopa isije ikaleta maseke mana masimu yenyewe aya ya bei chee nshawai update moja bhana wee ikaanza chagua laini kumbe simu nlipigwa hilikua ya voda wajanja waliichezea ikawa inasomanlaini yeyote baada ya kupokea maboresho ikarudi vile ilivyopaswa kuwa nilimind sana
 
Oppo Reno5 F nategemea kuipokea Android 13 February 2023 na ndio itakuwa my last android update. Mwakani inabidi niset budget nichukue Oppo au Xiaomi. Samsung nilishatoka nq sitegemei kurudi. Kuna features na functionality nazipata huku Oppo na pia zingine naziona Xiaomi ambazo kwa Samsung ni bado sana.
Hiyo update naingoja kwa hamu sana aisee.
 
Wakuu naomba kuwakumbusha kwamba Android 13 ilishatoka toka mwaka Jana August na kwa Samsung imeanza kutoka October 22.

Simu yangu ilipata updates October 22, hivyo natumia Android 13 toka kipindi hicho.

Kitu kimoja nilisahau nimependa na ningependa kuwashirikisha ni uwezo wa kutokuonyesha nani anakupigia hadi pale utakapotoa lock ya simu.

Kama simu iko locked na mtu akapiga, haitoi mwanga wala kuonyesha jina zaidi ya mlio wa kuita/ringtone kuna mtu anakupigia. Hivyo ili kuona jina la mtu lazima utoe lock.

Hii ni feature nzuri kwa wale wazee wa nyumba ndogo.

Anyway, nawakumbusha tu, msisahau ku-update Android zenu. Wale wapenzi wa Samsung, tutegemee mambo mazuri kwenye Galaxy Unpacked tarehe 1 Februari 2023.

View attachment 2482989
Hii ni feature nzuri kwa wale wazee wa nyumba ndogo.
 
Oppo Reno5 F nategemea kuipokea Android 13 February 2023 na ndio itakuwa my last android update. Mwakani inabidi niset budget nichukue Oppo au Xiaomi. Samsung nilishatoka nq sitegemei kurudi. Kuna features na functionality nazipata huku Oppo na pia zingine naziona Xiaomi ambazo kwa Samsung ni bado sana.
Hiyo update naingoja kwa hamu sana aisee.

Oppo Reno 6 tayari update kitambo!

Screenshot_2023-01-14-13-25-49-39_fc704e6b13c4fb26bf5e411f75da84f2.jpg
 
Oppo Reno5 F nategemea kuipokea Android 13 February 2023 na ndio itakuwa my last android update. Mwakani inabidi niset budget nichukue Oppo au Xiaomi. Samsung nilishatoka nq sitegemei kurudi. Kuna features na functionality nazipata huku Oppo na pia zingine naziona Xiaomi ambazo kwa Samsung ni bado sana.
Hiyo update naingoja kwa hamu sana aisee.
Ni feature zipi ambazo unaziona xiaomi na oppo ila Samsung huzioni?

Mimi binafsi labda ije brand mpya ya simu (Tesla) ndio naweza kuhama Samsung.

Na hua unatumia Samsung zipi, low end, mid end ama high ends? Mimi huku kwenye high ends Samsung amenishika na hapa nasubiri Februari 1 atoe Galaxy 23 nijichukulie mzigo.
 
Wakuu naomba kuwakumbusha kwamba Android 13 ilishatoka toka mwaka Jana August na kwa Samsung imeanza kutoka October 22.

Simu yangu ilipata updates October 22, hivyo natumia Android 13 toka kipindi hicho.

Kitu kimoja nilisahau nimependa na ningependa kuwashirikisha ni uwezo wa kutokuonyesha nani anakupigia hadi pale utakapotoa lock ya simu.

Kama simu iko locked na mtu akapiga, haitoi mwanga wala kuonyesha jina zaidi ya mlio wa kuita/ringtone kuna mtu anakupigia. Hivyo ili kuona jina la mtu lazima utoe lock.

Hii ni feature nzuri kwa wale wazee wa nyumba ndogo.😂

Anyway, nawakumbusha tu, msisahau ku-update Android zenu. Wale wapenzi wa Samsung, tutegemee mambo mazuri kwenye Galaxy Unpacked tarehe 1 Februari 2023.
Pigiw
View attachment 2482989
Mi kwangu nikipigiwa mbona inaonesha na nipo Android 13... Samsung S22 ultra.
 
Ni feature zipi ambazo unaziona xiaomi na oppo ila Samsung huzioni?

Mimi binafsi labda ije brand mpya ya simu (Tesla) ndio naweza kuhama Samsung.

Na hua unatumia Samsung zipi, low end, mid end ama high ends? Mimi huku kwenye high ends Samsung amenishika na hapa nasubiri Februari 1 atoe Galaxy 23 nijichukulie mzigo.
1. Split Screen.
2. Float Screen.
3. Guest Account (unakuwa na accounts kibao ndani ya simu na zinajitegemea)
4. Touching gestures za kutosha with the screen off
Na vitu vingine viingi ambavyo kwenye Samsung sikuviona.
Nimetumia Samsung S10+ na ndio nikahamia Oppo
 
Back
Top Bottom