Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,160
Huu ndiyo ukweli na ni lazima tuuelezenchama cha mapinduzi hatujaongoza nchi kwa miaka 50 Iko hivi .
1--1961 tulipopata uhuru TANU ndiyo iliongoza Tanganyika na si Tanzania hadi 1977 ni miaka 16.
1964 zanzibar ilifanya mapinduzi matakatifu na ASP ndiyo iliingoza nchi .
2--1964 tuliunganisha nchi kuwa Tanzania lakini vyama viliongoza eneo lake na si chama cha mapinduzi .
3--1977 ndipo tuliunganisha vyama vya TANU na ASP na kuzaliwa CCM hivyo ccm iliiongoza tanzania toka 1977 hadi 1995 tulipofanya uchaguzi wa vyama vingi ni takribani miaka 18 tu na hao wanaojiita wapinzani wakiwemo ndani ya serikali yaCCM.
Hivyo hawana sababu ya kukwepa amma kuzusha amma kuongopa kua hawakuwemo amma kushiriki na kutoa michango yao kwa miaka 34 toka tupate uhurub1961 hadi 1995.
4--Baada ya uchaguzi 1996 ndipo CCM kwa kuaminiwa na wananchi tulikabidhiwa kuwaongoza na kuiongoza nchi ni miaka19 tu na si 50 kama inavyodaiwa na kupotoshwa na vyama na wanachama wa vyama vya upinzani Tanzania.
5--Kwa mtazamo wako kwa akili na busara usikubali kudanganywa na upotoshaji huu usio na tija wala faida hauna takwimu wala tafiti za kweli na za maana zilizofanyiwa kazi kwa umakini nao.
6--Hii ni kuthibitisha kua wanachama wa vyama vya upinzani hawapo tayari kuwaambia watanzania ukweli na kuukubali ukweli sababu wamezoea kupinga na kusema uongo daima.
7--Nawaomba na kuwashauri watanzania kuwa makini kutowasikiliza na kutowapigia kura 25 oktoba sababu nia na madhumuni yao hayapo wazi ni kututumbukiza katika matatizo makubwa.
8--Chagua kilicho bora chagua chama cha mapinduzi na viongozi wake kwa manufaa maendeleo na mustakabali mzuri wa taifa letu kwa amani utulivu upendo na maendeleo.
Mungu awabariki sana muwe na busara na hekima muchague chama cha mapinduzi kuanzia madiwani wabunge na raisi.
9--Mungu ibariki tanzania na watu wake tujaalie afya busara na hekima.
Imetengenezwa nami HALFAN SAIDI DOSI kada wa chama cha mapinduzi.
1--1961 tulipopata uhuru TANU ndiyo iliongoza Tanganyika na si Tanzania hadi 1977 ni miaka 16.
1964 zanzibar ilifanya mapinduzi matakatifu na ASP ndiyo iliingoza nchi .
2--1964 tuliunganisha nchi kuwa Tanzania lakini vyama viliongoza eneo lake na si chama cha mapinduzi .
3--1977 ndipo tuliunganisha vyama vya TANU na ASP na kuzaliwa CCM hivyo ccm iliiongoza tanzania toka 1977 hadi 1995 tulipofanya uchaguzi wa vyama vingi ni takribani miaka 18 tu na hao wanaojiita wapinzani wakiwemo ndani ya serikali yaCCM.
Hivyo hawana sababu ya kukwepa amma kuzusha amma kuongopa kua hawakuwemo amma kushiriki na kutoa michango yao kwa miaka 34 toka tupate uhurub1961 hadi 1995.
4--Baada ya uchaguzi 1996 ndipo CCM kwa kuaminiwa na wananchi tulikabidhiwa kuwaongoza na kuiongoza nchi ni miaka19 tu na si 50 kama inavyodaiwa na kupotoshwa na vyama na wanachama wa vyama vya upinzani Tanzania.
5--Kwa mtazamo wako kwa akili na busara usikubali kudanganywa na upotoshaji huu usio na tija wala faida hauna takwimu wala tafiti za kweli na za maana zilizofanyiwa kazi kwa umakini nao.
6--Hii ni kuthibitisha kua wanachama wa vyama vya upinzani hawapo tayari kuwaambia watanzania ukweli na kuukubali ukweli sababu wamezoea kupinga na kusema uongo daima.
7--Nawaomba na kuwashauri watanzania kuwa makini kutowasikiliza na kutowapigia kura 25 oktoba sababu nia na madhumuni yao hayapo wazi ni kututumbukiza katika matatizo makubwa.
8--Chagua kilicho bora chagua chama cha mapinduzi na viongozi wake kwa manufaa maendeleo na mustakabali mzuri wa taifa letu kwa amani utulivu upendo na maendeleo.
Mungu awabariki sana muwe na busara na hekima muchague chama cha mapinduzi kuanzia madiwani wabunge na raisi.
9--Mungu ibariki tanzania na watu wake tujaalie afya busara na hekima.
Imetengenezwa nami HALFAN SAIDI DOSI kada wa chama cha mapinduzi.