fabinyo
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 2,991
- 2,109
wanawake,hivi huwa mnajisikia wanaume wasipowatongoza?kuna binti rafiki yangu na huwa tunashauriana mengi,amenipa malalamiko na amekuwa na majonzi katika maisha yake, kuwa ni muda sasa,yapata miaka 3 toka ameachana na x wake lakini cha ajabu hakuna mwingine aliyejitokeza hata wa kumdanganya tu kuwa anampenda!anajihisi upweke wa ajabu lakini ndio hivyo tena!!sasa anafikiria kwenda hata kwa wataalamu kwani kama kusali anahisi imefikia kikomo!ana miaka 36 na kwa kweli ni mtafutaji mzuri wa fedha hivyo maisha yake hayamshindi!tumshaurini wadau,afanyaje sasa?