Lissu katua nchini leo. Leo hii hii kauwasha moto. Ujumbe utakuwa umewafikia:
"Kero za wananchi."
Bei za vitu vikiwamo vyakula ni kero kubwa. Wenye dhamana na maslahi ya watu hawana habari. Wao wako kwenye kudai kodi na tozo zaidi.
Mlamba asali gani ameweza kuyaongelea magumu haya ya watu?
Ni chawa gani anauthubutu wa kuyaongelea haya?
Yapo mengi.
Go Lissu go. Mwendo mdundo.
Ulipo tupo!
"Kero za wananchi."
Bei za vitu vikiwamo vyakula ni kero kubwa. Wenye dhamana na maslahi ya watu hawana habari. Wao wako kwenye kudai kodi na tozo zaidi.
Mlamba asali gani ameweza kuyaongelea magumu haya ya watu?
Ni chawa gani anauthubutu wa kuyaongelea haya?
Yapo mengi.
Go Lissu go. Mwendo mdundo.
Ulipo tupo!