Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,849
- 2,442
Tulioko nyanda za juu kusini tukutane,katika adha hii kubwa na ya mateso kiasi fulani kwani ndani ya mwezi huu wa sita mpka mwezi wa nane mwishoni ni miezi ya kupigwa baraidi la vichomi na vumbi la kutosha haswa hapa mbeya,
ratiba za usafi haswa wa mwili hupungua kutokana na watu kuyakimbia mabafu na kuongeza wingi wa paspot size majumbani mwao,hii ni bugudha kuu ya miezi hii katika jiji la mbeya,vumbi ni muda wote ukitembea umbali fulani tu unageuka kitutoka mithili ya fukufuku...
Shida nyingine ni mahala unapolala miezi hii kama huna blanketi asee utaipandika fureshi lazima ujibinjue na kujikuta pamekucha kwani baridi inakushugulikia vizuri kwelikweli,...tuongezee shuruba nyinginezo wana jf za huu mwezi wa barid kwa apa mbeya......
ratiba za usafi haswa wa mwili hupungua kutokana na watu kuyakimbia mabafu na kuongeza wingi wa paspot size majumbani mwao,hii ni bugudha kuu ya miezi hii katika jiji la mbeya,vumbi ni muda wote ukitembea umbali fulani tu unageuka kitutoka mithili ya fukufuku...
Shida nyingine ni mahala unapolala miezi hii kama huna blanketi asee utaipandika fureshi lazima ujibinjue na kujikuta pamekucha kwani baridi inakushugulikia vizuri kwelikweli,...tuongezee shuruba nyinginezo wana jf za huu mwezi wa barid kwa apa mbeya......