Msimu wetu wa baridi jijini mbeya.

Msimu wetu wa baridi jijini mbeya.

Khalifavinnie

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2017
Posts
2,849
Reaction score
2,442
Tulioko nyanda za juu kusini tukutane,katika adha hii kubwa na ya mateso kiasi fulani kwani ndani ya mwezi huu wa sita mpka mwezi wa nane mwishoni ni miezi ya kupigwa baraidi la vichomi na vumbi la kutosha haswa hapa mbeya,


ratiba za usafi haswa wa mwili hupungua kutokana na watu kuyakimbia mabafu na kuongeza wingi wa paspot size majumbani mwao,hii ni bugudha kuu ya miezi hii katika jiji la mbeya,vumbi ni muda wote ukitembea umbali fulani tu unageuka kitutoka mithili ya fukufuku...


Shida nyingine ni mahala unapolala miezi hii kama huna blanketi asee utaipandika fureshi lazima ujibinjue na kujikuta pamekucha kwani baridi inakushugulikia vizuri kwelikweli,...tuongezee shuruba nyinginezo wana jf za huu mwezi wa barid kwa apa mbeya......
 
Tulioko nyanda za juu kusini tukutane,katika adha hii kubwa na ya mateso kiasi fulani kwani ndani ya mwezi huu wa sita mpka mwezi wa nane mwishoni ni miezi ya kupigwa baraidi la vichomi na vumbi la kutosha haswa hapa mbeya,


ratiba za usafi haswa wa mwili hupungua kutokana na watu kuyakimbia mabafu na kuongeza wingi wa paspot size majumbani mwao,hii ni bugudha kuu ya miezi hii katika jiji la mbeya,vumbi ni muda wote ukitembea umbali fulani tu unageuka kitutoka mithili ya fukufuku...


Shida nyingine ni mahala unapolala miezi hii kama huna blanketi asee utaipandika fureshi lazima ujibinjue na kujikuta pamekucha kwani baridi inakushugulikia vizuri kwelikweli,...tuongezee shuruba nyinginezo wana jf za huu mwezi wa barid kwa apa mbeya......
Ila Mufindi Shikamoo kwa baridi
 
Tukutane kata ya kituro wilaya ya makete Mkoani njombe.

Kituro National Park
Screenshot_20190606-052018.png
 
Tulioko nyanda za juu kusini tukutane,katika adha hii kubwa na ya mateso kiasi fulani kwani ndani ya mwezi huu wa sita mpka mwezi wa nane mwishoni ni miezi ya kupigwa baraidi la vichomi na vumbi la kutosha haswa hapa mbeya,


ratiba za usafi haswa wa mwili hupungua kutokana na watu kuyakimbia mabafu na kuongeza wingi wa paspot size majumbani mwao,hii ni bugudha kuu ya miezi hii katika jiji la mbeya,vumbi ni muda wote ukitembea umbali fulani tu unageuka kitutoka mithili ya fukufuku...


Shida nyingine ni mahala unapolala miezi hii kama huna blanketi asee utaipandika fureshi lazima ujibinjue na kujikuta pamekucha kwani baridi inakushugulikia vizuri kwelikweli,...tuongezee shuruba nyinginezo wana jf za huu mwezi wa barid kwa apa mbeya......
Mhola mhola nkoi..unafanyeje mbeya kipindi hiki cha maumivu..
 
Nilipokuja mbeya kwa mala ya kwanza kipindi kk hiki nilijifanya kupoza mwenyewe Maji ya kuoga ile kutia mkono nikajua Maji yamepoa nikaenda kuoga, baada ya siku tatu mwili wote ngozi imebabuka kumbe Maji hayakupoa yalikuwa ya moto sikuyasikia sababu ya baridi.

Shikamoo Mbeya mitaa ya Isanga pale karibu na mlima kabisa
 
Niliwahi kwenda Makete nilipigwa baridi mpk kende zilipotelea tumboni
 
Back
Top Bottom