Hamayser hamisi
Member
- Jul 14, 2021
- 37
- 47
Je unaujua ufuta au umesikiakuhusu ufuta km unaujua Wacha nikujuze zaidi km ujui Wacha nkujuze, ufuta ni Zao linalolimwa zaidi kusini mwaTanzania mikoa ya ya Lindi na Mtwara zaidi unalimwa mkoa wa Lindi, Sasa huu ni.mwezi wa Tano Wacha nikupe taarfa za fursa ufuta,, Kwa ww Mtanzania mwenzangu na unamtaji na ujui biashara (Hela) gani, basi kwa sasa hii biashara mzur Sana ambayo itakuza mtaji wako Zaidi ya mara 3 ya mtaji wako ndani ya hyo miezi 3 au 4 nifuate inbox nkujuze zaidi namna gan unaweza kufanya hii biashara au bidhaa gani ulete kipindi hiki Cha msimu wa ufuta ambacho wanachi wengi wanakuwa wako vzur kichumi ,,,,,km km upo proud nifuate inbox....,, Asanten sana..