Naomba nione sehemu juu ya kitovu mpenziNdio kuna mtu alihitaji kuona upaja wangu nampenda chura

Nimekuelewa sanaWenye mapenzi yenu. Kina sie tunaendelea kubaki wapenzi watazamaji.
Mzigua90 mbona nae yuko mpweke mtafute mle matunda ya uhuruMimi kila Valentine ikifika nakuwa single....sijui kwanini?!
Font fediNajisikia furaha kuwa front page
pm umefunga halafu unalalamika huna mpenzi!Wenye mapenzi yenu. Kina sie tunaendelea kubaki wapenzi watazamaji.

hahahaOngeza hii quote yangu 'Mapenzi pesa maua pelekea nyuki'
na msimu huu UEFA itakuwa imepamba motoooHii siku sijawahi isherekea sijui kwann?

mm watanisamehe hao wakina Valentina kwakweli 

Bwana sina chura hata ukija pm hutanipenda.pm umefunga halafu unalalamika huna mpenzi!![]()
Utapata dhambi mkuu. Mpe mwenzio nafasi.na msimu huu UEFA itakuwa imepamba motooomm watanisamehe hao wakina Valentina kwakweli
![]()
Mwenzangu ganii...hao wakina Valentina!!?Utapata dhambi mkuu. Mpe mwenzio nafasi.
Eeeh hao hao.Mwenzangu ganii...hao wakina Valentina!!?
Utaniharibia mama. Mie nataka mmoja japo mmoja mwenyewe rafiki ako ila yuko mbali nataka mwingine wa kudanganyana nae siku hiyo.Kama nawaona vidume vinavyotoka jasho vikiskia Valentine. Tarehe zenyewe sizooo na madem wenyewe hamna mwenye mmoja. Basi kazi ipo.😛😛
Hapo wanapewa maneno matamu walainike warudi japo na chocolate na maua vibinti vipate kujiselfie waonekane nao wanapendwa.😛😛
Sijui watafanikiwa.😀😀
Kweli tena.
Rafiki unanidanganya!...Chura ipo,nikabidhi niitunze!Kweli tena.