Msimjaribu Zitto, mtaumia!


pOOR SYSTEM AT WORK

Just a thought
 

Una uhakika katiba yenu ndio ilichaguwa wabunge wa upendeleo?
 

Msimjaribu Zitto, mtaumia!
 


Soma kichwa cha habari na post namba 1, hayo ndio nnayoyaongelea mimi.
 

Aliposhindwa Mbowe uchaguzi
mkuu wa 2005, 2010 akawekwa Slaa,
tunataka Zitto agombee 2015 tumpe
kura zetu, kumbuka, hatuwapi kura
CHADEMA tutampa Zitto Kabwe, bila
yeye sahauni kura za wengi.



teh, teh, teh, teh
 
huzi hoja za zitto zinakela, hivi zito hawezi kuwa mwanachama wa cdm tu, mpaka uwe mwenyekiti?.. nadhani kwa nguvu hizo naona kuna haja ya kuhakikisha hatakishika cheo hicho ndani ya cdm, maana sasa naweza anza kuamini kuwa anaweza akawa msaliti kama rais wa mwisho wa iliyokuwa USSR
 

Mkuu nenda Jukwaa la Dini na hizo mada zako ndio panakufaa, jukwaa la siasa sio mahala pake...Msimjaribu Zitto Mtaumia.
 

Amekutuma? nyie ndo tunawaita WACHAWI
 

Nani anasema Zitto lazima awe Mwenyekiti? jifunze kusoma nyuzi kwa umakini.
 
Amekutuma? nyie ndo tunawaita WACHAWI

Hivi unafikiri wanasiasa hawana kura za "WACHAWI". Nachukulia hiyo kama sifa nzuri kwani hata Pele akiitwa mchawi wa soka!
 
Hiyo ina maana wanaomkubali Zitto lakini si wanachama wa chadema, ambao ni wengi sana, mimi mmoja wao.

Pia wapo wengi sana wasiomtaka, mimi na rafiki zangu watano hapa ofisini petu ni miongoni. Tunampenda Zito, lakini siyo kwa nafasi ya Urais.
 
I thought my Swahili is naturally excellent ....anyway, as I graduate English I'll think to consider your advise and possibly take a polish Class for my Swahili

1) "as I graduate my English classes" would have been more appropriate.

2) "possibly take Swahili class to polish my Swahili" would have been more appropriate.
 
Though I am neither a member nor a fan of CHADEMA but I am suddenly a fan of Zitto Kabwe, if he runs for president and I am still alive, count my vote for him, if he continues the way he is now.

Zoba you continue proving that you're a very GAMBA at work!

If at all there will be a dependant or private candidate and Zitto register himself as one then you gonna vote for him! But not through CHADEMA. Zitto is too young to compete for a presidential post. CHADEMA and majority of Tanzanians knows how CCM are maneuvering to fool and cheat CHADEMA prominent politicians to distabilize CHADEMA. We know.

Let me warn CCM party that every move of you is being watched. Be informed that any slight foolish mistake to fool around with CHADEMA you gonna suffer the consequences.
 

You are too shallow to be thinking in those terms.
 
Kuna kitu kitafumuka CDM mpaka mtashangaa,
CHADEMA lazima ife kabla ya mwaka 2015.

Hii ni ndoto ya Wassira alipokuwa anasinzia kule Bungeni wakati Tindu Lissu akimwaga sera.
 
Hii ya washabiki wa CCM kumfagilia Zito wa Chadema imeeleweka na haina mashiko tena
 
Kinachonishangaza ni jinsi ambavyo oparesheni za CHADEMA zinavyobamba bila uwepo wa ZITTO..bandugu hii inamaanisha CDM ni zaidi ya kiongozi yoyote ndani yake..kosa kubwa ambalo CDM wakilifanya watajuta maishani mwao ni kutomsimamisha DR SLAA 2015 position ya URAIS..hili ndio chaguo halisi la wananchi..
 
Hatuna haja na zito kwasababu yupo Chama kubwa sasa CDM sisi tuna deal na ccm na wake zake Pambaf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…