Msimamo wangu

Sijui ni huu msimamo ndio wanauogopa au ni hicho alichozungumzia huyo jamaa hapo juu kuwa pesa sina na sura sina atanitaka nani
hv bado hujalegeza masharti? mwaka wa 5 huu ujue
 
espy aje hapa athibitishe kwa umma wa jf, miaka mitano sio haba na mengi yamekuwa upside down. Aseme je huu msimamo wake bado upo. Ingekuwa vizuri kama ungeeleza your current marital status...

Kama ulikuwa 25, sasa upo 30.. kama ulikuwa 28 manake age is really catching up now...

Hii misimamo kwa sisi wenye nature ya ubahili haitufai kabisa
 
Mm niko mbali kabsa huku mporoto tukuyu
 

Yaani bado bila bila ex darling, hapa nina mpango wa ku-update niongezee misimamo zaidi maana naonana hiyo ilikuwa michache, ikifika 20 itapendeza.
 

Yaani bado bila bila ex darling, hapa nina mpango wa ku-update niongezee misimamo zaidi maana naonana hiyo ilikuwa michache, ikifika 20 itapendeza.
sidanganyiki.

Hapo umeamka kunyonyesha baby wako, then saa tisa tena utaamka. Bado chako ni chako tu? Isije kuwa mshahara wako jamaa ndio anauchukua kupangia matumizi ya home
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…