Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,330
- 176,111
- Thread starter
- #1,041
Hahahaaa wew upo dunia gani?? Lulu gari anayoendesha ametoa wapi?
So sory my dear you know nothing about watu wanaojua kuhonga....
Sijaolewa na nina drive na nimehongwa na aliyenihonga nimempa kibuti na bado kila siku ananipigia magoti turudiane..unaonaje apo??
Wew ndo bahili mwenyew na hauna hela ndo maana akili yako imeishia hapo.. maisha sio magumu kama unavyozani..
Unaonaje watoto wa kike mjini wanavyoishi maisha mazuri? Unazani wengi ni hela zao?
Wanaume wanahonga adi wanakosa nauli tofauti na wew
Usimuumize mwenzio jamani, yeye soko limemdodea anatumia hadi carot na dodoki now, alafu we unadrive si unataka afe kabla siku ya sio zake!!
, kweli kumbukumbu ya maandishi ni mbaya