Msimamo wangu

Msimamo wangu

Hahahaaaaa!! We nawe mfukunyukuuuu!! Huku umefuata nini sasa?
Anyway bora lkn umeupata ujumbe, sasa uamue kusuka ama kunyoa.

Sasa ngoja nikaee mkao wa kusuka aya sema unapenda mtindo gani bby
 
Sasa ngoja nikaee mkao wa kusuka aya sema unapenda mtindo gani bby

Mambo si ndio hayo huby!! Yaani kila siku unanifanya nakupenda upyaaaaa, love you soooo much wax wangu, we nisuke tu mtindo unaokuvutia wewe.
 
Last edited by a moderator:
Mambo si ndio hayo huby!! Yaani kila siku unanifanya nakupenda upyaaaaa, love you soooo much wax wangu, we nisuke tu mtindo unaokuvutia wewe.

Okey nashukuru kwa ruhusa atoto wangu ntakusuka mtindo unaonivutia mm pamoja na wewe ucjal nipo kwa ajili yako
 
Last edited by a moderator:
Okey nashukuru kwa ruhusa atoto wangu ntakusuka mtindo unaonivutia mm pamoja na wewe ucjal nipo kwa ajili yako

Am humbled you know!
 
Last edited by a moderator:
Kila mara nasema wanawake wa humu wako desperate sana na wana sumbuliwa na msongo wa mawazo,wako obsessed na ndoa na pesa. wanawake wa humu wana siffa moja ya kua michepuko tu na si vinginevyo..
 
Kila mara nasema wanawake wa humu wako desperate sana na wana sumbuliwa na msongo wa mawazo,wako obsessed na ndoa na pesa. wanawake wa humu wana siffa moja ya kua michepuko tu na si vinginevyo..

Wacha we!!! Mbona yamekutoka sana kijana, ndio stress hizo nini!!!
 
maisha yatakurejesha tu mstarini...

Ndoa ni mwalimu asiyelipwa,

Mshahara usioisha,

Kumbukumbu isiyofutika.

Though i am single, ila naheshimu sana ndoa.
 
maisha yatakurejesha tu mstarini...

Ndoa ni mwalimu asiyelipwa,

Mshahara usioisha,

Kumbukumbu isiyofutika.

Though i am single, ila naheshimu sana ndoa.

Jirani kumbe na huku unafikaga? Hata mie naiheshimu sanaaa ndoa ndio maana kwa msimamo huo haitotetereka kamwe!! Teh teh teh
 
atoto, kuna wanawake walikuwa na misimamo isiyo tetereka kama miamba ya kanda ziwa,

Malengo makubwa kama ya Rais wa awamu ya nne,

lakini wapi!

Wameishia kula mb 8 kwa siku...
 
Last edited by a moderator:
atoto, kuna wanawake walikuwa na misimamo isiyo tetereka kama miamba ya kanda ziwa,

Malengo makubwa kama ya Rais wa awamu ya nne,

lakini wapi!

Wameishia kula mb 8 kwa siku...

Wao sio mimi ujue!
 
Last edited by a moderator:
Umenikumbusha mbali kipindi cha nyuma, niliwahi ku-date na mwanamke mwenye sifa kama ulizotaja hapo juu, aiseee baada ya kumvua PICHU tyuuuu, sikugeuka nyuma tena,....
 
Back
Top Bottom