Msimamo wangu

Msimamo wangu

vingine upo sahihi ila vingine impossible kw wanaume mf

swala la mali iwe na jina lalko na mumewe au watt hapo cwa maan kuna ndg washenzi cna km jamaa akifa

lakini hii ya chache changu changu changu hii haiwezekani asee.

swala mtu kuw bahil kwl hili sio powa mbaya zaidi km anahonga kwingine

hayo ni baadhi tuu

Naweza nisiwe sahihi kwa mtazamo wako, ila mie nimeona mbali sana mpaka kufikia msimamo huo, by the way sio lazima wote tuwe na misimamo sawa.
 
msimamo wako upande mwingine nimeupenda.wanawake dizain yako ni bahat cna kuwapata yaan km ilivo kupata kaz TRA

nahc utakuwa mchaga ww tena wamachame au uru
 
msimamo wako upande mwingine nimeupenda.wanawake dizain yako ni bahat cna kuwapata yaan km ilivo kupata kaz TRA

nahc utakuwa mchaga ww tena wamachame au uru

Kudos to wachaga, maana kila mtu anawahisi wao tuu, kweli wanawake wa kichaga we waache tu, mie nawaheshimu sana.

Ila umewasingizia, mie sio mchaga hata kwa kurithi.
 
MSIMAMO WANGU

1. Changu ni changu, cha mume/mpenzi wangu tunashea.

2. Mwanaume bahili akae mbali na mimi.

3. Sina huruma na pesa ya mwanaume, labda atakaekuwa mume wangu wa ndoa.

4. Ntafanya majukumu yote kama mpenzi/mke wake, lakini when it comes to my money asahau, imeandikwa "mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho" so let him provide.
so wanaume wote utawazalia kwa uchungu?
5. Ni marufuku mambo ya joints a/c eti mmoja wetu anaweza kutoa pesa pasipo saini ya mwingine sitaki.

6. Pesa zangu ni zangu ata password cmpi, bora nimpe Mama angu ata nikifa ajifutie nazo machozi.
muungano wa aina gani sasa huu..., kwani ye hana mama?
7. Hata kama nina pesa kuliko yeye, mwanaume ni lazima awajibike, sio pesa ake awanufaishe wengine, maana kuna wanaume ndani wabahili ila nje wanahonga balaa.
hapa we uko wap sasa? nje au ndani
8. Nyumba tutasaidiana kujenga, na itakuwa na jina langu na lake, au kama tutakuwa na watoto nao tutawaweka humo.
huu utakuwa muungano wa mkataba
9. Ni marufuku ndugu wa mume kujihusisha na mali zetu, narudia tena ni marufuku ndugu wa mume kujisogeza karibu na mali zangu mm na mume wangu! Hizi haziwahusu kabisa tena mkae mbali.
na wa mke pia
NIMEMALIZA

Mi nadhani wewe unahitaji kuwa na katiba kwako
 
MSIMAMO WANGU

1. Changu ni changu, cha mume/mpenzi wangu tunashea.

2. Mwanaume bahili akae mbali na mimi.

3. Sina huruma na pesa ya mwanaume, labda atakaekuwa mume wangu wa ndoa.

4. Ntafanya majukumu yote kama mpenzi/mke wake, lakini when it comes to my money asahau, imeandikwa "mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho" so let him provide.

5. Ni marufuku mambo ya joints a/c eti mmoja wetu anaweza kutoa pesa pasipo saini ya mwingine sitaki.

6. Pesa zangu ni zangu ata password cmpi, bora nimpe Mama angu ata nikifa ajifutie nazo machozi.

7. Hata kama nina pesa kuliko yeye, mwanaume ni lazima awajibike, sio pesa ake awanufaishe wengine, maana kuna wanaume ndani wabahili ila nje wanahonga balaa.

8. Nyumba tutasaidiana kujenga, na itakuwa na jina langu na lake, au kama tutakuwa na watoto nao tutawaweka humo.

9. Ni marufuku ndugu wa mume kujihusisha na mali zetu, narudia tena ni marufuku ndugu wa mume kujisogeza karibu na mali zangu mm na mume wangu! Hizi haziwahusu kabisa tena mkae mbali.

NIMEMALIZA

Mwambie kaka yako akuoe ili pesa mtakazokuwa mnatafuta zisitoke nje ya familia yenu.
 
MSIMAMO WANGU

1. Changu ni changu, cha mume/mpenzi wangu tunashea.

2. Mwanaume bahili akae mbali na mimi.

3. Sina huruma na pesa ya mwanaume, labda atakaekuwa mume wangu wa ndoa.

4. Ntafanya majukumu yote kama mpenzi/mke wake, lakini when it comes to my money asahau, imeandikwa "mwanamke atazaa kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho" so let him provide.

5. Ni marufuku mambo ya joints a/c eti mmoja wetu anaweza kutoa pesa pasipo saini ya mwingine sitaki.

6. Pesa zangu ni zangu ata password cmpi, bora nimpe Mama angu ata nikifa ajifutie nazo machozi.

7. Hata kama nina pesa kuliko yeye, mwanaume ni lazima awajibike, sio pesa ake awanufaishe wengine, maana kuna wanaume ndani wabahili ila nje wanahonga balaa.

8. Nyumba tutasaidiana kujenga, na itakuwa na jina langu na lake, au kama tutakuwa na watoto nao tutawaweka humo.

9. Ni marufuku ndugu wa mume kujihusisha na mali zetu, narudia tena ni marufuku ndugu wa mume kujisogeza karibu na mali zangu mm na mume wangu! Hizi haziwahusu kabisa tena mkae mbali.

NIMEMALIZA
Kama utatekeleza hayo 8 ya mwanzo then utakosa haki ya kusimamia la 9.
 
A.....tooo....tooooo tulia shusha pumzi punguza jazba' inaonekana unakutana na majambazi hujakutana na wagawa faraja' unapewa mahaba wewe na masharti yako hamna hata utakalokumbuka hata moja
 
Back
Top Bottom