Wazungu kwao mwanamke anamarry huku kwetu hata uwe na hela kumzidi Mengi utaolewa tuuuuu.By the way thread huwa sichaguliwi yaani ipi nichangie na ipi nisiichangie.
Na mm nimeyapenda,sipendi mwanaume anayelalamika, kukopa kopa pesa, kiukweli hela yangu nayotafuta kwa shida hailiwi na mwanaume eti kisa mpenzi/ Mume nooo..
Na mm nimeyapenda,sipendi mwanaume anayelalamika, kukopa kopa pesa, kiukweli hela yangu nayotafuta kwa shida hailiwi na mwanaume eti kisa mpenzi/ Mume nooo..
thats it, mwanaume co ndugu yako hawatabiriki hawa, tena ukute mhongaji pembeni ati!! uwii yangu hagusi hata kumi atatumia yake tu pia tutatumia yake tu!!