Msimamo wa Zitto Kabwe kuhusu Katiba mpya

Msimamo wa Zitto Kabwe kuhusu Katiba mpya

Hakika mkuu umenena kweli yapo mataifa ya kigeni ambayo hayaitakii mema nchi yetu sasa yamejikita kutumia ukawa kuivuruga nchi lakini jambo la kushukuru tumewastukia.

Wewe ndio umevurugwa na ccm na mnaivuruga nchi
 
Ukawa ni dume kweli kweli hilo halikwepeki jina la ukawa likitajwa ccm chali
 
Zitto aendelee kuchukua fedha kutoka kwa Lowassa, akaimarishe chama chake cha ACT. Huyu jamaa hana jipya na hana ubavu wa kipimana nguvu na UKAWA...
 
Back
Top Bottom