Msimamo wa Nyerere, Mareale UN ulikuwa mmoja

Rejea kusoma post yangu Mkuu...hakuna mahala nimetoa tuhuma za kuwalaumu watu wa kanda nyingine na kuwafananisha na madafu kama unavyotaka kuwaaminisha wewe... instead nimekemea propaganda za kijinga za CCM zinazoendekeza ukabila na ukanda wakati kaskazini kuna watu wazuri tu wanaoweza kuisaidia nchi hii ikapiga maendeleo ya haraka...kwani wewe ni zao la walioshindwa kuuzwa hata kwa dinari moja enzi za biashara zile za kuuza watu? pole ndugu...

Sawa Mkuu nimekuelewa na kwa bahati nzuri nina uzika rafiki! nina shahada mbili za kuheshimiwa na niko busy kufanya ile ya uzamivu,hata jamaa yangu ni watu wa elimu sana! lakini hainfanyi nidharau makabila mengine kwakuwa si kabila ndiyo limenifanya niwe hivi bali ni Uwezo wa Mungu na nafasi nilyopewa na Nchi yangu kwa maana ya kwamba Watanzania wote wakulima na wafanyakazi uliowaita wana vichwa vya nazi isipokua watu wa kanda yenu hasa kabila lako.

Pole sana rafiki Watanzania wanasoma wote sasa baada ya kupewa room ya kufanya hivyo na kila kona ya nchi ina watu ambao uwezo wao mkubwa walisaidia taifa hili na kutoa mchango kwa dunia yetu.

Sipendi watu wanaodhani makabila yao ni bora kuliko wengine hicho nakiona kama kiwango cha juu sana cha ubanafsi usiyo vumilika.
 
Tuhuma nyingine, iliyowahi kutolewa na watu wangine, ni kwamba ktk hotuba yake ya June 17,1958 UN Chifu alisema anataka Kilimanjaro ijitenge na nchi ya Tanganyika, huu ni uongu mtupu!

UKWELI HUU HAPA:
Alichoeleza Chifu UN jinsi kwamba yeye na Machifu wengine wa Kanda ya Kaskazini walivyoanzisha chama chao ( Northern Province Chief's Convention) 1956 na jinsi machifu wote Tanganyika walivyoanzisha Chama chao (Territorial Chief's Convention 1957)

Chief alisema madhumuni ya kuanzisha vyama hivyo ilikuwa ni kuwafanya machifu wakutane, washirikiane na watatue matatizo yanayowakabili kwa pamoja. Alise sasa machifu wanaweza kuongea kwa sauti moja katk ngazi ya wilaya, mkoa na nchi nzima. Aliyeanzisha hoja ya kuanzisha vyama hivi (hatua ya kwanza ya kuondoa ukabila nchini alikuwa Chifu Thomas Marealle.
Kama angetaka Kilimanjaro ijitenge asingeanzisha vyama vya kuunganisha machifu wote wa nchi nzima na asingepeleka misaada mingi kwa makabila mengine kama alivyofanya.

Kwa mfano alipeleka misaada kwa Wagogo 1956 wakati wa njaa kubwa Dodoma na aliwahi kupeleka misaada Lindi na Usukuma pia kwa Chifu Majebele.

Kisumo atazamwe upya, pia achunguzwe kwann anasambaza mabaya juu ya Chifu Marealle, lazima kuna conflict of Interest, na wote wanaowasema vibaya wachaga angali kuna mazuri waliyoyafanya katika kuleta usawa kwa Tanganyika yote.
 
Alichosema Kisumo ndicho sahihi!. Mjerumani alikuwa akitumia utawala wa direct rule, Muingereza ndio akaleta indirect rule ya devide and rule!. Wagawanye uwatawale kwa kuanzisha utawala wa uchifu!. Machifu walifanywa wajione wao ndio bora zaidi, na mkuu wa machifu wote Tanzania ndio Mangi Mkuu, Thomas Marealle!.

Ni ukweli usiopingika watu wa koo hizi za kichifu walipendelewa ikiwemo kupewa nyumba na Malkia kule London!. Hawa walikuwa ni vibaraka wa wazungu!, walinuona mkoloni ni bora zaidi kuliko mtu mweusi!. Mpaka leo, mpaka kesho Mchagga anajisikia fahari sana kuishi kuzungu, kuvaa kuzungu, kutembea kizungu, kuongea kuzungu na kutokana na kuupenda uzungu, baadhi ya wanawake wa kichagga Mungu amewapa shape za kuzungu (pasi)!.

Mpaka leo mpaka kesho, zile familia zenye uwezo za kichagga, wanakwenda kujifungulia London!.

Nimebahatika kusoma na one of the Marealles toka ukoo wa Mangi Mkuu, hawa jamaa ni mayai kweli kweli!. Tulipomaliza tuu form four, mwenzetu huyoo London!. Nilipopata fursa ya kuja Uingereza, nilimtembelea, life ilikuwa safi!, jamaa wana nyumba ya ukoo London ila yeye na mkewe walipanga nyumba nzima jirani!. Maisha ni ya kudeka deka tangu Tanzania hadi London!.

Tangu tulipoachana Bongo hadi tunakutana London ilipita yapata miaka 10!. Tulipafanya tathmini ya pamoja kati ya miaka 10 ya bongo, mimi nina nini, na miaka 10 ya London mwenzangu ana nini!, akatamani kurudi bongo na mimi nikamuunga mkono. Miaka miwili baadae alirudi na familia yake ila its very unfortunatelly maisha ya bongo yalimshinda!, family ilisambaratika for sometimes, ila kutokana na kuona familia bora, family ili take controll, familia ikatengamaa na jamaa akaona bora arudi kuishi London, huko amezoea zaidi na maisha anayaweza kuliko maisha ya huku!.

Back to Mangi Mkuu, aliside na wakoloni kuwa Watanganyika bado hatiko tayari kujitawala mpaka labda baada ya miaka 15-20!. Akapendekeza kwa vile Kilimajaro ilikuwa juu kimaendeleo, watoe uhuru kwa majimbo kwa Kilimanjaro kupewa uhuru wake kwanza, maeneo mengine yakishaendelea nayo ndio yapewa uhuru hadi Tanganyika yote iishe!.

Chief Marealle ali undermine juhudi zozote za Tanganyika kujiwala, Nyerere baada ya kulijua hili, ali team na wale Waswahili masikini wenzake na wale wazee wa Gerezani, tukapata uhuru!. From there alifutilia mbali uchifu, Mareale akamind sana!. Akawasideline Wachagga kwenye urais!. Never will this country be ruled na rais Mchagga!. Laana ya Nyerere itatushukia!.

Poleni!
Merry X-mass
Pasco


Huku tunapoenda tutabaguana hadi koo sasa tumeanza kwenye ukanda kanda ya kaskazini inaonekana ina virusi, wakaenda katika ukabila imeonekana chagga ndo vimeo sasa wamekuja kikoo naamini huku tuendako tunaenda kuligawanya hili taifa. tufanye yote lakini tujue hata chizi ana mchango wake katika jamii.
 
Mkuu mimi mwenyewe nilipigwa na butwaa baada ya kupewa kanda ya Chief Marealle akihutubia UN... Jamaa alikuwa Jembe kweli kweli, chakushangaza nasikia zile kanda zilipigwa marufuku na zilifichwa zaidi ya Bange! Kwa wale wanaokumbuka tukio la pale ARS ambapo JKN alikwepa kupita kwenye red capet na badala yake alimkimbilia na kumkumbatia Thomas Marealle watakuwa wanajua kilichotokea... Wonder why til to date Malkia anailipa familia ya Chief Marealle?...Mengi yanafunikwa lakini ukweli utasimama kuwa ukweli daima...a notion kuwa rais hatatoka kaskazini hawataki ku-acknowledge mchango wa watu wa kaskazini ulivyokuwa mkubwa ktk ukombozi wa bara hili; USA inatambua kuwa kaskazini mwa Tanzania kuna vichwa vya ukweli si madafu! Massawe wa NASA huwa analindwa akija bongo kuliko hata Obama!... Soon mtajua umuhimu wa mnowabagua kila kukicha ...

mkuu nimependa hyo ya MASAWE WA NASA kama utapata muda naomba uni PM briefly huyo jamaa yupoje
 
Alichosema Kisumo ndicho sahihi!. Mjerumani alikuwa akitumia utawala wa direct rule, Muingereza ndio akaleta indirect rule ya devide and rule!. Wagawanye uwatawale kwa kuanzisha utawala wa uchifu!. Machifu walifanywa wajione wao ndio bora zaidi, na mkuu wa machifu wote Tanzania ndio Mangi Mkuu, Thomas Marealle!.

Ni ukweli usiopingika watu wa koo hizi za kichifu walipendelewa ikiwemo kupewa nyumba na Malkia kule London!. Hawa walikuwa ni vibaraka wa wazungu!, walinuona mkoloni ni bora zaidi kuliko mtu mweusi!. Mpaka leo, mpaka kesho Mchagga anajisikia fahari sana kuishi kuzungu, kuvaa kuzungu, kutembea kizungu, kuongea kuzungu na kutokana na kuupenda uzungu, baadhi ya wanawake wa kichagga Mungu amewapa shape za kuzungu (pasi)!.

Mpaka leo mpaka kesho, zile familia zenye uwezo za kichagga, wanakwenda kujifungulia London!.

Nimebahatika kusoma na one of the Marealles toka ukoo wa Mangi Mkuu, hawa jamaa ni mayai kweli kweli!. Tulipomaliza tuu form four, mwenzetu huyoo London!. Nilipopata fursa ya kuja Uingereza, nilimtembelea, life ilikuwa safi!, jamaa wana nyumba ya ukoo London ila yeye na mkewe walipanga nyumba nzima jirani!. Maisha ni ya kudeka deka tangu Tanzania hadi London!.

Tangu tulipoachana Bongo hadi tunakutana London ilipita yapata miaka 10!. Tulipafanya tathmini ya pamoja kati ya miaka 10 ya bongo, mimi nina nini, na miaka 10 ya London mwenzangu ana nini!, akatamani kurudi bongo na mimi nikamuunga mkono. Miaka miwili baadae alirudi na familia yake ila its very unfortunatelly maisha ya bongo yalimshinda!, family ilisambaratika for sometimes, ila kutokana na kuona familia bora, family ili take controll, familia ikatengamaa na jamaa akaona bora arudi kuishi London, huko amezoea zaidi na maisha anayaweza kuliko maisha ya huku!.

Back to Mangi Mkuu, aliside na wakoloni kuwa Watanganyika bado hatiko tayari kujitawala mpaka labda baada ya miaka 15-20!. Akapendekeza kwa vile Kilimajaro ilikuwa juu kimaendeleo, watoe uhuru kwa majimbo kwa Kilimanjaro kupewa uhuru wake kwanza, maeneo mengine yakishaendelea nayo ndio yapewa uhuru hadi Tanganyika yote iishe!.

Chief Marealle ali undermine juhudi zozote za Tanganyika kujiwala, Nyerere baada ya kulijua hili, ali team na wale Waswahili masikini wenzake na wale wazee wa Gerezani, tukapata uhuru!. From there alifutilia mbali uchifu, Mareale akamind sana!. Akawasideline Wachagga kwenye urais!. Never will this country be ruled na rais Mchagga!. Laana ya Nyerere itatushukia!.

Poleni!
Merry X-mass
Pasco

I'm glad umekuja ktk umbo lako la asili saddest! Back kwenye mada, umeeleza story ndefu ambayo msingi wake ni wivu wa kike! jamaa yako kuzaliwa katika familia yenye neema haikuwa kosa, wewe kuzaliwa kwenye familia yenye dhiki ni kosa la wazazi wako! watoto wako wakiishi maisha ya dhiki ni kosa lako la kushindwa kuwaandaa! Billgates aliwahi kunukuliwa akisema kuzaliwa masikini si kosa lako bali kufa masikini ni kosa lako!!! Pasco unawananga hadi mabint na akina mama wa kichaga kuwa wanashepu za kizungu wamepigwa pasi! hii inadhihirisha chuki yako dhidi ya wachagga ambao msingi wake ni wivu, unasahau kuwa karibu viongozi wako wote wa nchii hii wamekimbilia kuoa uchagani ili pamoja na mambo mengine waweze kufanikiwa kimaisha! JKN alifundishwa kazi na mama lucy!, uliza na fuatilia akina Nswilo Swai, Imran Kombe, Eliufoo, Elinawinga wameifanyia nini nchi hii?...Ngoja nitupilie mbali ubaguzi wako nirudi kwenye mada ili kuweka kumbukumbu sahihi:- Nchi yetu haikuwa koloni bali tulikuwa chini ya uangalizi wa Uingereza, kwa kutambua hilo Mwingereza hakuendeleza lolote ndani ya Tanganyika! miundo mbinu yote ilikuwa ni ile ile ya mjerumani, mbaya zaidi hadi mazao kama mpira mwingereza aliua kwa hasira ya mjerumani! tofauti na Kenya ambapo Mwingereza aliwajengea miundo mbinu ya kila aina... Wakati wa vugu vugu la kudai uhuru ni kweli Mangi Marealle alikuwa kiongozi wa machief, hakupewa kwa bahati mbaya kwani chagga scholarship ilianza kuwasomesha vijana toka Enzi za Union Jerk! Wasomi wenye uelewa mpana walijua kuwabana wazungu vilivyo, Marealle aliwabana Waingereza wajenge mahospitali, Mashule, miundo mbinu kwakua kwa muda wote walikuwa wanafaidi rasilimali za nchi hii kwa kutumia miundo mbinu alizoziacha Mjerumani!!! Technically alitaka Mwingereza aamriwe na UN kulipa fidia Tanganyika ili wakati wanaondoka nchi iweze kupiga hatua haraka! ikumbukwe kuwa sehemu pekee iliyokuwa imeendelea ilikuwa Kilimanjaro! Wazungu walimgwaya marealle ndipo walipoamua kuside na nyerere ambaye tayari walikuwa wamemuandaa! kama utakuwa unakumbukumbu nzuri utakumbuka kuwa mara baada ya kupewa uhuru wa bendera Waingereza waliendelea kumsapoti JKN hata wakati ule wa uasi! ...kwa ufupi, wazee wa gerezani unaowazungumzia hawakufaidi matunda ya uhuru mpaka leo! Kilimanjaro ilinyang'anywa mradi wa EAC ikapelekwa Arusha, wawekezaji wazungu waliokuwa wanaratibu mashindano ya magari na kustawisha mkoa walitimuliwa! Wazee wenye gat zao kama akina Aikael Mbowe wakaenda kumkoromea JKN kwa kumkumbusha walivyokuwa wanamfadhili kisha wakaenda suluhishwa kwa malkia!!! Kama Mawazo ya Marealle yangezingatiwa bila shaka Tanzania tungekabidhiwa nchi yenye maendeleo ilivyokuwa Namibia wakati wanapata uhuru!!!
 
sikuwahi kusikia harakati za kudai uhuru wa taifa hili kutoka kilimanjaro. labda wewe ututajie walidai wapi. angalia Tanga, tabora, Dar na maeneo mengine yanayofanania na hayo walivyohangaikia uhuru. au wewe hukusoma historia? huenda labda wewe ni scientist, pole.

​Hivi majuzi , mzee Kisumo alipokuwa anahojiwa na gazeti la mwananchi alisema kuwa Nyerere alipokwenda UN kati ya mwaka 1955, 1956 na 1957 alikutana na Cheaf Marealle akimpinga Tanganyika kupewa uhuru, au akitaka uhuru wa KILIMANJARO pekee(Chagga land)!

Kisumo ni mzandiki na alikuwa na chuki binafsi na ukoo wa Marealle, ndio maana amekuwa akitoa kauli hizo za kuuchafua ukoo wa Maraelle na kuharibu historia nzuri na chief huyo.

Na chakusangaza mpaka leo kwenye mashule, vyuoni watu wamekuwa wakifundishwa hivyo, kumbe ni juhudi binafsi za Marealle kumchafua Chief. Hata mimi nilikuwa nimeathirika na hiyo mitizamo hasi ya watu juu ya Paramount Chief Marealle.

UKWELI HUU HAPA; Kama ilivyosemwa na ndugu wa ukoo pia kwa mujibu wa maandiko mbalimbali katika historia, ambayo Kisumo nahakika hakuwa kuyasoma, hata wale Wahadhiri wangu UDSM cjui walikuwa wapi hawakuyapitia wakati wakinifundisha huu uongo wa Kisumo. Wanahistoria hao ambao ni AJ HUGHES katika kitabu ch East Africa, J CLAGGET TAYLOR ktk kitabu cha Political Development of Tanganyika na BERNARD CHIDREZO ktk kitabu cha Tanganyika and International Trusteeship, wote kwa upande mmoja wakisema kuwa Chifu na Nyerere waliafikiana juu ya lini Tanganyika ipewe uhuru wake, wakati Nyerere akisema muda wa kijiandaa kujitawala uwe "kati ya miaka 20-25 mwaka 1955, na mwaka 1956 iwe na kati ya miaka 10-12, Chifu Marealle alisema mwaka 1957 kuwa muda wa kujiandaa kujitawala iwe ni kati ya 10-15.

Katika hotuba ya mwaka June 18, 1957, Mwalimu Nyerere alisema hotuba ya Chifu UN ilikuwa ya maana kuliko ya kwake, " the statement of Chief Marealle II .....has been greater significance than mine"' na kwamba Chifu alikuwa anawakilisha Chifu wa Taifa na mwakilishi wa machifu wenzake.

Sasa huyo Peter Kisumo inayesemwa kuwa alikuwa karibu na Mwalimu kwann anataka kutudanganya, ni watanzania wangapi leo wanamaoni hasi juu wa huyu chifu, Je, serikali inachukuwa hatua gani kurekebisha hii historia ya Marealle ambaya inazidi kuharibiwa na Kisumo.
 
Kila tukisema WACHAGA ni wabaguzi na watu wa kujiona tunaambiwa tunawaonea wivu kwa kuwa wamesoma...
(Sijui kabila gani hawajasoma siku hizi)

Ushahidi upo katika huu uzi...

SIku mchaga akiwa Raisi basi hadi majogoo yatanyang'anywa kazi zao za kuwika Alfajiri,wapewe wachaga
 
Mkuu mimi mwenyewe nilipigwa na butwaa baada ya kupewa kanda ya Chief Marealle akihutubia UN... Jamaa alikuwa Jembe kweli kweli, chakushangaza nasikia zile kanda zilipigwa marufuku na zilifichwa zaidi ya Bange! Kwa wale wanaokumbuka tukio la pale ARS ambapo JKN alikwepa kupita kwenye red capet na badala yake alimkimbilia na kumkumbatia Thomas Marealle watakuwa wanajua kilichotokea... Wonder why til to date Malkia anailipa familia ya Chief Marealle?...Mengi yanafunikwa lakini ukweli utasimama kuwa ukweli daima...a notion kuwa rais hatatoka kaskazini hawataki ku-acknowledge mchango wa watu wa kaskazini ulivyokuwa mkubwa ktk ukombozi wa bara hili; USA inatambua kuwa kaskazini mwa Tanzania kuna vichwa vya ukweli si madafu! Massawe wa NASA huwa analindwa akija bongo kuliko hata Obama!... Soon mtajua umuhimu wa mnowabagua kila kukicha ...

"Massawe wa NASA huwa analindwa akija bongo kuliko hata Obama."

Obama gani huyu unayemuongelea? Maana Afrika Mashariki Obama kibao tu wajaluo, wengine tumesoma nao shule za msingi kabla hilo jina halijapanda chati duniani.

Hilarious.
 
This is my thinking! Ni siasa za enzi hizo na jinsi iliyokuwepo kupakana matope. Kisumo anawezekana alikuwa anafanya kazi kama za buku saba guys by then kwa kuwa hakukuwa na media. Ukiangalia sana kwa mbali Mwl hakuna mtu alimpatia credit towards upatikanaji wa uhuru. He was a one man show player and not team player. Hivyo baada ya kupata uhuru Kisumo alitumika kama njia ya kumkatia majini Marealle. By then wachaga wengi naambiwa walikuwa wamesoma lakini kupenyeza ilikuwa ngumu kwa hofu za Mwl. Lakini miaka michache baada ya uhuru ndio maana walitaka watanganyika kuchukua nchi yao na tizama alivyozuia na hata ideology zake zilikuwa za kidikteta kwa kuwa alitawala muda mrefu sana bila sababu na kulisha fikra mbaya wananchi wamfikirie yeye pekee na ndio kusema zidumu fikra, kidumu nk.

In my view can not credit him.

It is my thinking!
 
Mkuu ..a notion kuwa rais hatatoka kaskazini hawataki ku-acknowledge mchango wa watu wa kaskazini ulivyokuwa mkubwa ktk ukombozi wa bara hili;
Kaskazini ndiyo wapi huko?.

Kwani kuna mtu kwa sasa anazuiwa kugombea Urais. Anzisha chama cha watu "Kaskazini" bila kuvunja katiba na sheria ya vyama vya siasa na kwa kufanya hivyo, gombea Urais.

Hizi za kuweka maneno kama "notion" ni inferiority complex au inawezekana ni msongo wa guilty conscience!

USA inatambua kuwa kaskazini mwa Tanzania kuna vichwa vya ukweli si madafu! Massawe wa NASA huwa analindwa akija bongo kuliko hata Obama!... Soon mtajua umuhimu wa mnowabagua kila kukicha ...
Huyu USA anayetambua kuwa Kaskazini ni wapi na kama ndivyo hivyo, kwa nini asiwape Urais hawa watu wa Kaskazini wasio na vichwa vya madafu!.

Nani anawabagua hawa watu wa Kaskazini na kwa nini anawabagua?.

Hapo kwenye red ndiyo umemaliza!.

Huyu Massawe niwa "kuogopwa" kweli kweli kwa sababu hata mimi kijijini kwangu kuna mtu anajiita Obama na anawapambe na walinzi kibao!. Inawezekana ulinzi wa Massawe uko zaidi ya Obama wetu wa kijijini!.
 
Alichosema Kisumo ndicho sahihi!. Mjerumani alikuwa akitumia utawala wa direct rule, Muingereza ndio akaleta indirect rule ya devide and rule!. Wagawanye uwatawale kwa kuanzisha utawala wa uchifu!. Machifu walifanywa wajione wao ndio bora zaidi, na mkuu wa machifu wote Tanzania ndio Mangi Mkuu, Thomas Marealle!.

Ni ukweli usiopingika watu wa koo hizi za kichifu walipendelewa ikiwemo kupewa nyumba na Malkia kule London!. Hawa walikuwa ni vibaraka wa wazungu!, walinuona mkoloni ni bora zaidi kuliko mtu mweusi!. Mpaka leo, mpaka kesho Mchagga anajisikia fahari sana kuishi kuzungu, kuvaa kuzungu, kutembea kizungu, kuongea kuzungu na kutokana na kuupenda uzungu, baadhi ya wanawake wa kichagga Mungu amewapa shape za kuzungu (pasi)!.

Mpaka leo mpaka kesho, zile familia zenye uwezo za kichagga, wanakwenda kujifungulia London!.

Nimebahatika kusoma na one of the Marealles toka ukoo wa Mangi Mkuu, hawa jamaa ni mayai kweli kweli!. Tulipomaliza tuu form four, mwenzetu huyoo London!. Nilipopata fursa ya kuja Uingereza, nilimtembelea, life ilikuwa safi!, jamaa wana nyumba ya ukoo London ila yeye na mkewe walipanga nyumba nzima jirani!. Maisha ni ya kudeka deka tangu Tanzania hadi London!.

Tangu tulipoachana Bongo hadi tunakutana London ilipita yapata miaka 10!. Tulipafanya tathmini ya pamoja kati ya miaka 10 ya bongo, mimi nina nini, na miaka 10 ya London mwenzangu ana nini!, akatamani kurudi bongo na mimi nikamuunga mkono. Miaka miwili baadae alirudi na familia yake ila its very unfortunatelly maisha ya bongo yalimshinda!, family ilisambaratika for sometimes, ila kutokana na kuona familia bora, family ili take controll, familia ikatengamaa na jamaa akaona bora arudi kuishi London, huko amezoea zaidi na maisha anayaweza kuliko maisha ya huku!.

Back to Mangi Mkuu, aliside na wakoloni kuwa Watanganyika bado hatiko tayari kujitawala mpaka labda baada ya miaka 15-20!. Akapendekeza kwa vile Kilimajaro ilikuwa juu kimaendeleo, watoe uhuru kwa majimbo kwa Kilimanjaro kupewa uhuru wake kwanza, maeneo mengine yakishaendelea nayo ndio yapewa uhuru hadi Tanganyika yote iishe!.

Chief Marealle ali undermine juhudi zozote za Tanganyika kujiwala, Nyerere baada ya kulijua hili, ali team na wale Waswahili masikini wenzake na wale wazee wa Gerezani, tukapata uhuru!. From there alifutilia mbali uchifu, Mareale akamind sana!. Akawasideline Wachagga kwenye urais!. Never will this country be ruled na rais Mchagga!. Laana ya Nyerere itatushukia!.

Poleni!
Merry X-mass
Pasco

That moment when emotions,hate and jealousy overcomes reasoning.........lets love each other
 
I'm glad umekuja ktk umbo lako la asili saddest! Back kwenye mada, umeeleza story ndefu ambayo msingi wake ni wivu wa kike! jamaa yako kuzaliwa katika familia yenye neema haikuwa kosa, wewe kuzaliwa kwenye familia yenye dhiki ni kosa la wazazi wako! watoto wako wakiishi maisha ya dhiki ni kosa lako la kushindwa kuwaandaa! Billgates aliwahi kunukuliwa akisema kuzaliwa masikini si kosa lako bali kufa masikini ni kosa lako!!! Pasco unawananga hadi mabint na akina mama wa kichaga kuwa wanashepu za kizungu wamepigwa pasi! hii inadhihirisha chuki yako dhidi ya wachagga ambao msingi wake ni wivu, unasahau kuwa karibu viongozi wako wote wa nchii hii wamekimbilia kuoa uchagani ili pamoja na mambo mengine waweze kufanikiwa kimaisha! JKN alifundishwa kazi na mama lucy!, uliza na fuatilia akina Nswilo Swai, Imran Kombe, Eliufoo, Elinawinga wameifanyia nini nchi hii?...Ngoja nitupilie mbali ubaguzi wako nirudi kwenye mada ili kuweka kumbukumbu sahihi:- Nchi yetu haikuwa koloni bali tulikuwa chini ya uangalizi wa Uingereza, kwa kutambua hilo Mwingereza hakuendeleza lolote ndani ya Tanganyika! miundo mbinu yote ilikuwa ni ile ile ya mjerumani, mbaya zaidi hadi mazao kama mpira mwingereza aliua kwa hasira ya mjerumani! tofauti na Kenya ambapo Mwingereza aliwajengea miundo mbinu ya kila aina... Wakati wa vugu vugu la kudai uhuru ni kweli Mangi Marealle alikuwa kiongozi wa machief, hakupewa kwa bahati mbaya kwani chagga scholarship ilianza kuwasomesha vijana toka Enzi za Union Jerk! Wasomi wenye uelewa mpana walijua kuwabana wazungu vilivyo, Marealle aliwabana Waingereza wajenge mahospitali, Mashule, miundo mbinu kwakua kwa muda wote walikuwa wanafaidi rasilimali za nchi hii kwa kutumia miundo mbinu alizoziacha Mjerumani!!! Technically alitaka Mwingereza aamriwe na UN kulipa fidia Tanganyika ili wakati wanaondoka nchi iweze kupiga hatua haraka! ikumbukwe kuwa sehemu pekee iliyokuwa imeendelea ilikuwa Kilimanjaro! Wazungu walimgwaya marealle ndipo walipoamua kuside na nyerere ambaye tayari walikuwa wamemuandaa! kama utakuwa unakumbukumbu nzuri utakumbuka kuwa mara baada ya kupewa uhuru wa bendera Waingereza waliendelea kumsapoti JKN hata wakati ule wa uasi! ...kwa ufupi, wazee wa gerezani unaowazungumzia hawakufaidi matunda ya uhuru mpaka leo! Kilimanjaro ilinyang'anywa mradi wa EAC ikapelekwa Arusha, wawekezaji wazungu waliokuwa wanaratibu mashindano ya magari na kustawisha mkoa walitimuliwa! Wazee wenye gat zao kama akina Aikael Mbowe wakaenda kumkoromea JKN kwa kumkumbusha walivyokuwa wanamfadhili kisha wakaenda suluhishwa kwa malkia!!! Kama Mawazo ya Marealle yangezingatiwa bila shaka Tanzania tungekabidhiwa nchi yenye maendeleo ilivyokuwa Namibia wakati wanapata uhuru!!!
we ni mpuuzi sana watu wanajaribu kutumia busala zao kutokukutukana live ila we bado unashindwa kujisaidia mwenyewe na huo ukabila wako hayo mambo ya zamani sasa hivi hamna nyerere kaikomboa tanzania pembe zote za nchi watu wamesoma sana na wanaendelea kusoma zaidi na nafasi zote kwenye makampuny na serikalini wanashea watu wote wenye uwezo sio kama zamani unaingia offisi unakuta almost wafanyakazi wote ni wakabila moja, please hebu change kutokana na mazingira na wakati na acha kujifichia kwenye hio thread yako yakujifanya sio mkabila kwamba inamhusu mareale kumbe brain yako yote imejaa ukabila acha hayo mambo tutengeneze tanzania ya usawa na ya wote
RIP N. Mandela.
 
Alichosema Kisumo ndicho sahihi!. Mjerumani alikuwa akitumia utawala wa direct rule, Muingereza ndio akaleta indirect rule ya devide and rule!. Wagawanye uwatawale kwa kuanzisha utawala wa uchifu!. Machifu walifanywa wajione wao ndio bora zaidi, na mkuu wa machifu wote Tanzania ndio Mangi Mkuu, Thomas Marealle!.

Ni ukweli usiopingika watu wa koo hizi za kichifu walipendelewa ikiwemo kupewa nyumba na Malkia kule London!. Hawa walikuwa ni vibaraka wa wazungu!, walinuona mkoloni ni bora zaidi kuliko mtu mweusi!. Mpaka leo, mpaka kesho Mchagga anajisikia fahari sana kuishi kuzungu, kuvaa kuzungu, kutembea kizungu, kuongea kuzungu na kutokana na kuupenda uzungu, baadhi ya wanawake wa kichagga Mungu amewapa shape za kuzungu (pasi)!.

Mpaka leo mpaka kesho, zile familia zenye uwezo za kichagga, wanakwenda kujifungulia London!.

Nimebahatika kusoma na one of the Marealles toka ukoo wa Mangi Mkuu, hawa jamaa ni mayai kweli kweli!. Tulipomaliza tuu form four, mwenzetu huyoo London!. Nilipopata fursa ya kuja Uingereza, nilimtembelea, life ilikuwa safi!, jamaa wana nyumba ya ukoo London ila yeye na mkewe walipanga nyumba nzima jirani!. Maisha ni ya kudeka deka tangu Tanzania hadi London!.

Tangu tulipoachana Bongo hadi tunakutana London ilipita yapata miaka 10!. Tulipafanya tathmini ya pamoja kati ya miaka 10 ya bongo, mimi nina nini, na miaka 10 ya London mwenzangu ana nini!, akatamani kurudi bongo na mimi nikamuunga mkono. Miaka miwili baadae alirudi na familia yake ila its very unfortunatelly maisha ya bongo yalimshinda!, family ilisambaratika for sometimes, ila kutokana na kuona familia bora, family ili take controll, familia ikatengamaa na jamaa akaona bora arudi kuishi London, huko amezoea zaidi na maisha anayaweza kuliko maisha ya huku!.

Back to Mangi Mkuu, aliside na wakoloni kuwa Watanganyika bado hatiko tayari kujitawala mpaka labda baada ya miaka 15-20!. Akapendekeza kwa vile Kilimajaro ilikuwa juu kimaendeleo, watoe uhuru kwa majimbo kwa Kilimanjaro kupewa uhuru wake kwanza, maeneo mengine yakishaendelea nayo ndio yapewa uhuru hadi Tanganyika yote iishe!.

Chief Marealle ali undermine juhudi zozote za Tanganyika kujiwala, Nyerere baada ya kulijua hili, ali team na wale Waswahili masikini wenzake na wale wazee wa Gerezani, tukapata uhuru!. From there alifutilia mbali uchifu, Mareale akamind sana!. Akawasideline Wachagga kwenye urais!. Never will this country be ruled na rais Mchagga!. Laana ya Nyerere itatushukia!.

Poleni!
Merry X-mass
Pasco
Duh!Mkuu kweli chuki yako ni mbaya na wala haina dawa!Hivi kabila alilotoka mangungo basi nalo lilaaniwe?Eti "wanapenda uzungu",na hapo Nairobi umewaona?Halafu Marealle ni wa marangu,we unasema wachagga kwa kujumuisha,kwasababu mke wako alikwambia mbakie mbebe box huku jamaa huyo "mayai" akiyapenda maisha yako ya bongo ambayo mke wako hayapendi,we unasingizia "uzungu",hivyo vitu ulivyokuwa navyo baada ya miaka 10,vikamtamanisha huyo Marealle halafu mke wako akatamani kuviacha ni vitu gani?matatizo yako binafsi unasingizia makabila yote ya uchaggani.Na wewe ulioa aliyepigwa pasi?Pole sana.
 
Mkuu mimi mwenyewe nilipigwa na butwaa baada ya kupewa kanda ya Chief Marealle akihutubia UN... Jamaa alikuwa Jembe kweli kweli, chakushangaza nasikia zile kanda zilipigwa marufuku na zilifichwa zaidi ya Bange! Kwa wale wanaokumbuka tukio la pale ARS ambapo JKN alikwepa kupita kwenye red capet na badala yake alimkimbilia na kumkumbatia Thomas Marealle watakuwa wanajua kilichotokea... Wonder why til to date Malkia anailipa familia ya Chief Marealle?...Mengi yanafunikwa lakini ukweli utasimama kuwa ukweli daima...a notion kuwa rais hatatoka kaskazini hawataki ku-acknowledge mchango wa watu wa kaskazini ulivyokuwa mkubwa ktk ukombozi wa bara hili; USA inatambua kuwa kaskazini mwa Tanzania kuna vichwa vya ukweli si madafu! Massawe wa NASA huwa analindwa akija bongo kuliko hata Obama!... Soon mtajua umuhimu wa mnowabagua kila kukicha ...

PATHETIC! Anyway, this helps shed light on 'why you people are so power-greedy, and what you gona do with it once you lay your dirty hands on it!'
 


Back to Mangi Mkuu, aliside na wakoloni kuwa Watanganyika bado hatiko tayari kujitawala mpaka labda baada ya miaka 15-20!. Akapendekeza kwa vile Kilimajaro ilikuwa juu kimaendeleo,
watoe uhuru kwa majimbo kwa Kilimanjaro kupewa uhuru wake kwanza, maeneo mengine yakishaendelea nayo ndio yapewa uhuru hadi Tanganyika yote iishe!.

Chief Marealle ali undermine juhudi zozote za Tanganyika kujiwala, Nyerere baada ya kulijua hili, ali team na wale Waswahili masikini wenzake na wale wazee wa Gerezani, tukapata uhuru!. From there alifutilia mbali uchifu, Mareale akamind sana!. Akawasideline Wachagga kwenye urais!. Never will this country be ruled na rais Mchagga!. Laana ya Nyerere itatushukia!.

Poleni!
Merry X-mass
Pasco

Ahaaaaa, NIMEGUNDUA CHIMBUKO LA SERA YA JAMAA ZETU!
 
Back
Top Bottom