Mkuu tafadhali tupatie reference ya hayo aliyetamka huyo ambae Lissu alisema atatushtaki na "kaja mwenyewe na kasema yeye ndo atatulipa kwa wizi uiofanyika".Sasa ni dhahiri msimamo wa CHADEMA juu ya sakata la mchanga wa dhahabu umeparaganyika.
Kwanza Lissu alikuja na kali ya kuwatetea ACCASIA, kuwa mikataba ya wizi iliyofungwa na Nchi, tutashitakiwa na kupigwa adhabu kali za kimataifa.
Sasa Lowassa amempongeza Magufuli kwa kazi nzuri.
Tatu yule ambaye Lissu aisema atatushitaki mpaka tukome, kaja mwenyewe na kasema yeye ndo atatulipa kwa wizi uiofanyika.
CHADEMA sasa inaonekana kama gulio la wajinga.
Ushauri wangu: muufungie luku huo mdomo wa kijana wenu Lissu, kwani pamoja na kusoma sana sheria bado hajaelimika.
Huyo jamaa ni ama kasuku, ansoma mabo juu juu akijitia ana akili kumbe he is only half of what he is!!Leo mnasema Lisu anatetea wezi, Lisu alikuwa akitoa ushauri wa kisheria tu. Wakati ule anapambana juu ya hiyo mikataba mlimzomea, eti leo mnajifanya mashujaa, hovyo kabisa ccm.
Sent from my SM-G530H using JamiiForums mobile app
Kiukweli mmeshikwa pabaya sana. juzi kati wakati wa makabidhiano ya ripoti ya pili, wenzenu bungeni waliimba wanaimani na hao uliowataja! please, come to your sense!mkuu wa wezi anaachwa lakini waliotekeleza Amri kutoka juu wanahangaishwa na mahojiano, pasipo mkapa na kikwete kuhojiwa ujue hakuna kitu hapo zitabakia sinema za kuwasahaulisha wananchi juu ya vyeti vya Bashite
Wangekuwa China sasa majina Yao yangekuwa yanaanza na neno marehemuMkuu actually ni uhaini!!
Na hilo ndilo wengi wakashifu CCM wanapokosea.Ukisema ccm wajinga mpka wazazi wako n wajinga
Wewe ndiyo kilaza wa mwisho kabsa Duniani Kumbuka huyo mmiliki kaja kuandaa mkutano wa majadiliano wakishakubaliana ndipo wataitengua mikataba ya zamani mibovu iliyopo iliyopitishwa na CCM wenzako wajinga kama wewe gulio la wajinga lipo CCM kwani bila wao ujinga huu usingekuwa unajadiliwa leo.
Hujamuongelea lowasa kumbuka nae alipitisha mikataba hiyo akiwa Na haohao ccm vilaza, au kipind kile hakuwa kilazaWewe ndiyo kilaza wa mwisho kabsa Duniani Kumbuka huyo mmiliki kaja kuandaa mkutano wa majadiliano wakishakubaliana ndipo wataitengua mikataba ya zamani mibovu iliyopo iliyopitishwa na CCM wenzako wajinga kama wewe gulio la wajinga lipo CCM kwani bila wao ujinga huu usingekuwa unajadiliwa leo.
Sasa ni dhahiri msimamo wa CHADEMA juu ya sakata la mchanga wa dhahabu umeparaganyika.
Kwanza Lissu alikuja na kali ya kuwatetea ACCASIA, kuwa mikataba ya wizi iliyofungwa na Nchi, tutashitakiwa na kupigwa adhabu kali za kimataifa.
Sasa Lowassa amempongeza Magufuli kwa kazi nzuri.
Tatu yule ambaye Lissu aisema atatushitaki mpaka tukome, kaja mwenyewe na kasema yeye ndo atatulipa kwa wizi uiofanyika.
CHADEMA sasa inaonekana kama gulio la wajinga.
Ushauri wangu: muufungie luku huo mdomo wa kijana wenu Lissu, kwani pamoja na kusoma sana sheria bado hajaelimika.
Changanya na za kwako!Rudi darasani wewe!!!! ACCASIA ndio mdudu gani?
umuhimu wa chadema sikuuona tena baada ya kuwakubali na kuwakumbatia hawa makapi....lowasa na wenzake sio wana mabadiliko wa kweli..ni wasaka tiketi za urais tu....angekua kweli ni mwanaharakati angeondoka kabla hajakatwa tatizo watu wanaichukia sana ccm mpaka wanashindwa kuwaza nje ya boksi...wanaoishabikia chadema kwa ss wanaongozwa na mihemko ya chuki na matukio na sio akili tena.... ndo maaana nasema mzee slaa ni mtu mmoja ana akili sanaa alipoona hawezi kumeza matapishi yake akaondoka....eti leo lisu na lowassa wanakaa kiti kimoja kabisaaaaaaa na kunadi mabadiliko...babadiliko wameshindwa kuleta wakiwa ccm wataweza chadema?....NI AIBU NDUGU YANGUWewe huwezi kuuona umuhimu na maana ya uwepo wa CDM, ni kwa sababu unawapinga kwa gharama zozote. Lakini zaidi ya nusu ya WaTz wawakubali na wako tayari kuwachagua kama hakuna mizengwe.
Huyo Dr. Slaa alipokuwa CDM mlimpa kila aina ya kashfa mbaya, mmeona ubora wake kwa kuwa aliigeuka CDM
We hamaaaaMi nahama CHADEMA!
hii kitu hatoacha mtu salama hata waliokimbia ccm na kuja chadema...ila ni wazi katiba inahitaji marekebisho ili watu kama hawa waweze kushughulikiwa vizurimkuu wizi hauna itikadi. tatizo maccm yamegeuza vita hii ya kisiasa. nimevunjika moyo na kauli ya rais leo kuwatetea majizi jk na mkapa kwa kuzuia wasivuliwe kinga ya kutoshitakiwa. mafisadi ilopasws watafutwe kokote waliko na kuwatokomeza kabisa.
Sijui kama CCM wote wana fikiria hivi, inatakiwa m focus kwenye kusahihisha makosa yenu ya miaka 20 kuliko kumkoga Lissu.Sasa ni dhahiri msimamo wa CHADEMA juu ya sakata la mchanga wa dhahabu umeparaganyika.
Kwanza Lissu alikuja na kali ya kuwatetea ACCASIA, kuwa mikataba ya wizi iliyofungwa na Nchi, tutashitakiwa na kupigwa adhabu kali za kimataifa.
Sasa Lowassa amempongeza Magufuli kwa kazi nzuri.
Tatu yule ambaye Lissu aisema atatushitaki mpaka tukome, kaja mwenyewe na kasema yeye ndo atatulipa kwa wizi uiofanyika.
CHADEMA sasa inaonekana kama gulio la wajinga.
Ushauri wangu: muufungie luku huo mdomo wa kijana wenu Lissu, kwani pamoja na kusoma sana sheria bado hajaelimika.
Huyu jamaa hajakosea kuhama CHADEMA, hata mwenyekiti wake Mbowe yuko kimya kama maji ya mtungi, anajua wameingia mkenge na huyu dogo wao Tundu Lissu!