Kwenye Champions, timu za RS Berkane na Pyramids zimeshajihakikishia kupita. Zile nyingine mbili kenye grupu lao ni wasindikzaji tu. Vile vile timu za Rivers United, Power Dynamos na Simba inabidi ziane kujitayarisha kwa ajili ya mshindano ya mwakani.
Kwenye Confederation, tim za USM Alger, Wydad, Maniema na Al masry wameshajihakikishia kupita. Kwa upande mwingine timu za ZESCO, Nairobi United, Azam na Djoliba nazo zinatakiwa zianze kujitayarisha kwa ajili ya mashindano ya mwakani.