Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,337
- 9,079
Wanaume wenzangu msile mazao na mbegu bana sisi watoto wenu tutapanda na kula nini?
Yani sasa hivi hata kama nimekaa tu na washkaji kwa jinsi pisi zinavyoliwa najua tu hata nikioa wataliwa tu alafu wanawake wanapenda mizagamuano yani sijui na bahati mbaya mademu wangunwote wanapenda
Ila mimi ni normal tu nafanya kwa kumiss sio chakula inapelekea kuwa na feelings na pressure
Kinachoniuma ni hawa kaka zetu wanapiga miguu yote vikongwe mpaka watoto sasa sisi tule nini?
Acheni hizo bana
Yani sasa hivi hata kama nimekaa tu na washkaji kwa jinsi pisi zinavyoliwa najua tu hata nikioa wataliwa tu alafu wanawake wanapenda mizagamuano yani sijui na bahati mbaya mademu wangunwote wanapenda
Ila mimi ni normal tu nafanya kwa kumiss sio chakula inapelekea kuwa na feelings na pressure
Kinachoniuma ni hawa kaka zetu wanapiga miguu yote vikongwe mpaka watoto sasa sisi tule nini?
Acheni hizo bana

