J C
JF-Expert Member
- Dec 12, 2013
- 3,172
- 2,685
ISIS Ni makafiri km wewe Mkuu.
Wanakula Kitimoto na Wanafurahia KUUA waislamu km unavyofurahia wewe.
Hata Yesu pia alifanyiwa uadui na Hao hao Waisraeli ambao wewe unawafagilia kila kukicha lkn kumbuka hata ile dola ya kikafiri ya ROME ilidondoka na zile zingine km Benzatine na Persia zote zimebaki kwenye Vitabu tu.
Leo Uislamu Ni Dini inayokuwa kwa kasi Ya ajabu Duniani. Hasa huko kwenye Chimbuko La MAKAFIRI.
Na Hilo ndio Tishio kwa wachumia tumbo km Nyie.
Mnatambua kuwa UISLAMU ukitawala Hizo Rushwa Na Hongo mnazodhulumu wananchi Zitakuwa ndio mwisho wake.
Na mgambo km wewe bila Rushwa wanao hawajaenda Choo.
Kaa chonjo mgambo.
Brothers are coming soon in your Neighbourhood.
Nani kakuambia unakua?. Wengi ni wahamiaji kutoka dini ya kiislamu wanaokimbilia huko. Pia huwajui wazungu aliyekuzidi akili kakuzidi tu. Umeshawahi ona wakiwa wanatolewa kwenye boti zao mbovu kwa kuokolewa?. Huwa wanawekewa mashine fulani kichwani ka wanahesabiwa hivi. Hapo ndio mambo yanafanyika. Jidanganyeni sasa.