Msikiti Dodoma waungua

Msikiti Dodoma waungua

Nyakageni

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2011
Posts
15,044
Reaction score
5,114
Msikiti mkubwa wa barabara ya saba Dodoma hivi sasa unaungua moto. Imetokea mapema baada ya ibada ya Ijumaa na umeanzia ghorofa ya juu.

Kuna taharuki kubwa! Hofu nyaya za umeme zitashika moto. Hakuna majeruhi wala aliyepoteza maisha.

Poleni ndugu zetu waislam.

attachment.php


Source: Magic F. M.
 
Msikiti mkubwa wa barabara ya saba Dodoma hivi sasa unaungua moto. Imetokea mapema baada ya ibada ya Ijumaa na umeanzia ghorofa ya juu. Kuna taharuki kubwa! Hofu nyaya za umeme zitashika moto. Hakuna majeruhi wala aliyepoteza maisha
Poleni ndugu zetu waislam
Source: Magic F. M.

Ni kweli nimeshuhudia ,moto wa UKWELI...moshi mji mzima.
 
Poleni sana waislamu wa Dodoma na Tanzania kwa ujumla kwa kuunguliwa nyumba ya ibada
 
ni kweli kwakua mmezoea kuchoma makanisa ya watu....rejea Makanisa yaliyochomwa Mbagala, rejea makanisha yanayochomwa Znz ....!

Manachoma makanisa wenyewe kwa kugombea sadaka sio waislamu
 
Poleni sana watu wa Dodoma , je ni ule msikiti wa Gadafi??
 
Poleni waumini wenzangu kwa madhara yatakayopat ikana. Ila na swali;kwenye huo msikiti hakuna fire point au fire extingusher?
 
We mjinga kweli, watu uhamaki kulingana na chanzo cha tatizo, leo mleta mada anasema ni nyaya za umeme, sio kwamba umechomwa na watu, ambavto makanisa yanakuwa yamechomwa.

hoyce, chanzo bado hakijulikani. Kulikuwa na hofu wa moto kuathiri nyaya za umeme (overhead electrical wires)
 
Last edited by a moderator:
haya matukio mengine huwa ni vigumu kuyatenganisha na upitishwaji wa mswada tata na minds diversion, nawaza!
 
Msikiti mkubwa wa barabara ya saba Dodoma hivi sasa unaungua moto. Imetokea mapema baada ya ibada ya Ijumaa na umeanzia ghorofa ya juu. Kuna taharuki kubwa! Hofu nyaya za umeme zitashika moto. Hakuna majeruhi wala aliyepoteza maisha
Poleni ndugu zetu waislam


Source: Magic F. M.
Pole sana ndugu zetu wa Dodoma.
 
Back
Top Bottom