TEKNOLOJIA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 4,305
- 2,563
Mwenyekiti amekufanya uamini kuwa kile kiti ni sehemu ya kiungo cha mwiliwake kwahivyo hawezi kukalia mtu mwingine awaye yeyoteAtasaliti uchumi bureee
Yupo online ..na waandishi vilaza, wachangiaji vilaza,..kuna sehemu alianza stumble kutaka iba ktk mtiahaji jibu ambalo hakuwa na muda wa kukariri cha kusema.....kajaribu sema kuhusu currencie nyingine ila majibu yake..yakawa hayatoki kwani kaongelea wafadhili na escrow...akashindwa unganisha km hizo dili zilihusu dollar imekuwa kwa hela nyingine..?Anajipigia pasi mwenyewe, geshi ra mtu mmoja. Dogo anapenda attention huyu.
MAHORO
acha kujiweka vumbi machoni badala ya Dawa.
Sio busara kwako kujigeuza akili na kujigeuza kupinga pinga tu.
haha...ukimuuliza hata wakongo wanaonunua kuliko sisi,wazambia wanaonunua zaidi kwetu..bado hela zao zimepanda...wote haow ananunua vitu vya kichina kwa wingi sana....na congo wanatumia dolla..Labda wa Mwandiga.
Zito yupo vizuri uchumi,anafaa kuwa Rais
hii habari mbaya sana kwa bavicha na ufipani,wataondoka tena wote pale ufipani asalaleh
Zito, kichwa cha taifa ana nafasi yake katika taifa
Raisi wa wapi?
kwani mtei ni rais wa wapi,si wa wachaga tu
Kuna kipindi kinaendelea live star tv muda huu na mada ikiwa ni "kushuka kwa thamani ya shilingi".
Wageni waalikwa katika studio za star tv(wachambuzi) ni mchumi Donald Kasongi, akiwa anaongea katika studio za Mwanza na Zitto ambae atafuata kuongea akiwa studio za Dar-es-salaam.
Ni fursa nyingine kupima kauli za mwanasiasa huyu kwenye uchumi.
Kuna kipindi kinaendelea live star tv muda huu na mada ikiwa ni "kushuka kwa thamani ya shilingi".
Wageni waalikwa katika studio za star tv(wachambuzi) ni mchumi Donald Kasongi, akiwa anaongea katika studio za Mwanza na Zitto ambae atafuata kuongea akiwa studio za Dar-es-salaam.
Ni fursa nyingine kupima kauli za mwanasiasa huyu kwenye uchumi.
Tupo IbadaniKuna kipindi kinaendelea live star tv muda huu na mada ikiwa ni "kushuka kwa thamani ya shilingi".
Wageni waalikwa katika studio za star tv(wachambuzi) ni mchumi Donald Kasongi, akiwa anaongea katika studio za Mwanza na Zitto ambae atafuata kuongea akiwa studio za Dar-es-salaam.
Ni fursa nyingine kupima kauli za mwanasiasa huyu kwenye uchumi.
Kumwita ayaaatolaah nimekula ban ndiyo natoka!
kumwita ayaaatolaah nimekula ban ndiyo natoka!