Msikilize William Kinyonga Hapa

Msikilize William Kinyonga Hapa

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,795
Reaction score
24,417
Mwanzoni mwa miaka ya sabini kulikuwa na Bendi inaitwa Jamhuri Jazz pale Tanga ambayo ilikuwa na ushindani mkubwa sana na Atomic Jazz. Bendi hiyo ilianzishwa na ndugu wawili: William Kinyonga, na George Kinyonga. Baadaye walimshirikisha mdogo wao Wilison Kinyonga na rafiki yao Omari Shabani (ambaye alikuwa akijulikana kam Profesa Omari). Kati ya nyimbo maarufu sana za Jamhuri Jazz wakati huo ni pamoja na hizi

(1) Wanyama Wakali (ulikuwa unatumika na RTD kukaribisha kipindi fulani cha salamu jioni)

View: https://www.youtube.com/watch?v=y1tMadJA9Kg

(2)Chawa

View: https://www.youtube.com/watch?v=7eLifIn4BCI

(3)Angelina (huu sikuupata Youtube; nikupata nitauleta)

(4) Blandina

View: https://www.youtube.com/watch?v=lDVpyMum4C4

(5) Wasi wasi Ondoa

View: https://www.youtube.com/watch?v=CaR2d3u_nRk

(6) Shingo ya Upanga

View: https://www.youtube.com/watch?v=v86UoW7zq18

(7) Kipande cha papa

View: https://www.youtube.com/watch?v=ILrj726ijPE

(8)Nafikiria kurudi shamba

View: https://www.youtube.com/watch?v=rT7OeoM6ahg


Walipotoka Tanga walihamia Arusha na kuansiaha Arusha jazz baadaye wakahamia Nairobi na kuanzisha SImba wa Nyika ambayo baadaye iligawanyika na kuwa na tawi lililojulikana ka Les wa Nyika. Sasa angalia mwanamuziki mwazilishi wa bendi hiyo anavyoishi.


View: https://www.youtube.com/watch?v=gM2gKNI_YCA
 
Back
Top Bottom