Huyo si kichaa, kesha pona!kichaa anakuna macho huku kavaa miwani, mwenye akili akamwambia si uvue miwani ndio ukune macho vizuri kichaa akamjibu mbona ukikuna ****** huvui chupi'
Unataka kuzichemsha kisha ufanye mchemsho?Mi nimezipenda hizo nyotanyota