Msikilize chawa kutoka kanisani

Msikilize chawa kutoka kanisani

Skofi mmoja amesema kuwa KKKT inasemwa vibaya. Msikilize huyu chawa kutoka Kanisani
Kanisa limepatwa
Kakwepa kabisa kutaja neno HAKI
1766640011682.jpg
 
Huyu Askofu wa KKKT ni aibu kubwa kwa jamii.

Askofu ambaye anashindwa kukemea uovu, astahili kuendelea kuwepo kwenye hiyo nafasi.

Sijawahi kumsikia huyu idiot akikemea wizi wa kura au mauaji ya halaiki.

Leo anatumia madhabau kuisafisha serikali iliyoua maelfu ya watu.

Anasema hakuna tofauti ya dhambi, kwa kuwa anataka ku-justify watu waliouliwa…
 
Back
Top Bottom