Anasema CCM haina mpasuko, lakini viongozi wenyewe akiwemo Mukama kwa nyakati tofauti wamekiri kwamba kuna mpasuko japo wanau-underestimate kwa kusema ni mdogo.
Hivi wabunge wanahusika vipi na mbio za urais kuelekea 2015? Mukama na Msekwa mara kwa mara wamekuwa wakisema kwamba mbio hizo ndio zinakidhoofisha chama, sasa mtaalam wetu Bana anasema hakuna mpasuko ila ni wabunge tu ndo hawana uelewano na chama ... ****!
Kabla ua uchaguzi wa Arumeru Mashariki, alisema CCM ingeshinda. Leo CHADEMA wameshinda anasema CCM haiaminiki tena na kwamba come 2015 dola inaweza kutwaliwa na chama kingine. But ni huyu huyu Bana alisema haoni chama mbadala cha kuiondoa CCM madarakani, na ni kama wiki 6 tu zilizopita.
Ukishakuwa na nchi yenye wasomi kama Bana, ujue janga linawanyemelea.
Hivi wabunge wanahusika vipi na mbio za urais kuelekea 2015? Mukama na Msekwa mara kwa mara wamekuwa wakisema kwamba mbio hizo ndio zinakidhoofisha chama, sasa mtaalam wetu Bana anasema hakuna mpasuko ila ni wabunge tu ndo hawana uelewano na chama ... ****!
Kabla ua uchaguzi wa Arumeru Mashariki, alisema CCM ingeshinda. Leo CHADEMA wameshinda anasema CCM haiaminiki tena na kwamba come 2015 dola inaweza kutwaliwa na chama kingine. But ni huyu huyu Bana alisema haoni chama mbadala cha kuiondoa CCM madarakani, na ni kama wiki 6 tu zilizopita.
Ukishakuwa na nchi yenye wasomi kama Bana, ujue janga linawanyemelea.