Msikie huyu mlevi......

Msikie huyu mlevi......

M.A

Member
Joined
Nov 20, 2013
Posts
34
Reaction score
6
Mlevi mmoja kakutwa na mwalimu anakojoa maeneo ya shule. Mazungumzo yao yakawa hivi. Mwalimu; kwanin unakojoa hapo, Soma hilo bango linasemaje? Mlevi; linasema usikojoe hapa. Mwalimu; sasa wewe kwann umekojoa? Mlevi; kutoka moyoni, haki ya mama nilijua ni jina la shule. Jaman ungekuwa ww ndiye mwl ungemfanyaje?
 
Hahaaa...chukua na hii
mlevi:samahani blaza,eti hapa wanauza gongo wapi?
Jamaa🙁akimuoneshea kwa kidole)angalia kuleeeee.....mwisho wa kidole changu unaona nini?
Mlevi:naona kucha!!
 
Hahaaa...chukua na hii
mlevi:samahani blaza,eti hapa wanauza gongo wapi?
Jamaa🙁akimuoneshea kwa kidole)angalia kuleeeee.....mwisho wa kidole changu unaona nini?
Mlevi:naona kucha!!
Kwa hapo mlevi alikuwa sahihi kabisa
 
Ona na hii mlev alikuwa anakula ugali na samaki
mkewe akamwambia"mume wng angalia miba" Mlevi akamjibu
"Usijali mke wangu nmevaa viatu".....pombe noumaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom