umekumbuka nin mkuu
Enzi hizo nikiwa dogo... Nikienda kutoa sadaka,one day nikaweka shs 1 na kuiba noti ya shs 10 kapuni.
wasalimie simike kama ukibahatika kufika hivi karibuni.Mchemsho au ndo wewe nini kwa maana !?
Aaah nazingua.
Near by Uhindini.