Edson Zephania
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 517
- 112
dah, chichidodo?? hii ya kufungia mwaka!!!!!!
Watu wanakula nguruwe wakati nguruwe anakula mavi halafu wala nguruwe hawataki hata kuyagusa mavi...ha haa haaa.
ahahaa... Ila yeye mbona anakula kuku ..kuku hali wadudu?
Ni 'The beautyful ones are not yet born'
ahahaa... Ila yeye mbona anakula kuku ..kuku hali wadudu?
Msigwa: Mangula ni Chichidodo
ameyasema hayo akimlinganisha na ndege aliye tumika kwenye kitabu cha beutiful once are not yet born ambaye alikuwa anakataa kula kinyesi lakini anakula funza wanao kula kinyesi.
sawa sawa na mangula aliye chaguliwa na walarushwa lakini anasema atawatimua walarushwa ndani ya chama, ndani ya miezi 6 tu .
Nyie kidhungu chenu mmejifunzia kwenye sekondari za kata au?, hiyo ni Beautiful na sio Beautyful
Msigwa ni mwalimu wa sekondari tu hana jipya yule. Beautiful Ones are not yet BORN ni old book irrelevant to the modern times. U can not change the system if u are not within it unless your employ armed revolution. Mangula kuwemo ndani ya wala rushwa ndo first step ya kuikomesha. Wote mliochangia humu semeni how many times mmekula rushwa au kutoa rushwa? To me Mangula is Odili Samalu and Chadema Leaders are Chief Nangas.