maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,341
- 15,842
Lusinde yuko kwenye kB
Hapo sawa
Lusinde yuko kwenye kB
Jah people. Ingia kwenye mtandao wa bunge uone cv yake. Hana mb yoyote.yule aliyemwaga segere siku katiba ya chenge ilipopita yeye ana ngapi wakuu??
Mbunge wa Iringa Mjini-CHADEMA,Mchungaji Peter Msigwa amesema kuwa asilimia 80 ya wabunge walioko bungeni kwasasa hawakupaswa kuwepo hapo. Msigwa amedai wabunge wengi wana akili ndogo alioufananisha na GB 1.
Mchungaji Msigwa alikuwa akizungumza na wahariri na waandishi wa Mwananchi Communications. Zaidi ni ukurasa wa 2 Mwananchi.
Mbunge wa Iringa Mjini-CHADEMA,Mchungaji Peter Msigwa amesema kuwa asilimia 80 ya wabunge walioko bungeni kwasasa hawakupaswa kuwepo hapo. Msigwa amedai wabunge wengi wana akili ndogo alioufananisha na GB 1.
Mchungaji Msigwa alikuwa akizungumza na wahariri na waandishi wa Mwananchi Communications. Zaidi ni ukurasa wa 2 Mwananchi.
Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa amesema zaidi ya asilimia 80 ya wabunge waliopo bungeni sasa hawakustahili kuwa wabunge kwa sababu baadhi yao wana uwezo mdogo kiakili alioulinganisha na GB moja ya kompyuta.
Wabunge wengi hawamuelewi Tundu Lissu, kwa sababu vichwa vyao vina GB moja za ubongo. Sasa kucontain (kukusanya) mambo yote yale ya Bunge, kichwa kinapata moto na ili kupata majibu rahisi, wanasema ni (Lissu) kichaa, maana hawawezi kufikiri kiwango kile kutokana na akili yao kuwa ni ndogo sana, alisema Msigwa bila kutaja majina ya wabunge hao.
Wengi wao wamekaa kaa tu, hawawezi kusema lolote, wabunge wengine tunaposafiri nao, tunashuhudia mambo ya aibu tupu. Wengi wanakuwa kama mabubu, wamekaa kaa tu, hawasemi chochote, hawana michango yoyote, wanasubiri kufanya shopping tu kana kwamba wamekwenda kwa ajili hiyo, alisema Msigwa.
Mchungaji Msigwa alikuwa akizungumza na wahariri alipotembelea ofisi za Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd inayochapisha magazeti ya Mwananchi, The Citizen na Mwanaspoti, Tabata Relini, Dar es Salaam jana.
Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa amesema zaidi ya asilimia 80 ya wabunge waliopo bungeni sasa hawakustahili kuwa wabunge kwa sababu baadhi yao wana uwezo mdogo kiakili alioulinganisha na GB moja ya kompyuta.
Wabunge wengi hawamuelewi Tundu Lissu, kwa sababu vichwa vyao vina GB moja za ubongo. Sasa kucontain (kukusanya) mambo yote yale ya Bunge, kichwa kinapata moto na ili kupata majibu rahisi, wanasema ni (Lissu) kichaa, maana hawawezi kufikiri kiwango kile kutokana na akili yao kuwa ni ndogo sana, alisema Msigwa bila kutaja majina ya wabunge hao.
Wengi wao wamekaa kaa tu, hawawezi kusema lolote, wabunge wengine tunaposafiri nao, tunashuhudia mambo ya aibu tupu. Wengi wanakuwa kama mabubu, wamekaa kaa tu, hawasemi chochote, hawana michango yoyote, wanasubiri kufanya shopping tu kana kwamba wamekwenda kwa ajili hiyo, alisema Msigwa.
Mchungaji Msigwa alikuwa akizungumza na wahariri alipotembelea ofisi za Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd inayochapisha magazeti ya Mwananchi, The Citizen na Mwanaspoti, Tabata Relini, Dar es Salaam jana.
Msigwa mwenyewe ni MB 8.
Msigwa, Lema, Sugu, wenje, etc hao wanatupotezea muda wetu tu!
Mbunge wa Iringa Mjini-CHADEMA,Mchungaji Peter Msigwa amesema kuwa asilimia 80 ya wabunge walioko bungeni kwasasa hawakupaswa kuwepo hapo. Msigwa amedai wabunge wengi wana akili ndogo alioufananisha na GB 1.
Mchungaji Msigwa alikuwa akizungumza na wahariri na waandishi wa Mwananchi Communications. Zaidi ni ukurasa wa 2 Mwananchi.
Katika wabunge waliopita kwa bahati mbaya ni huyu mchugaji, wakati tunajua kwamba kura ya chuki na hasira za wana CCM dhidi ya mgombea ambae si chaguo lao ndio uliompa ushindi huyu Msingwa Safari yake imefika mwisho