mdetichia
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 5,292
- 2,172
Asumpta Mshana na mwenzie Mriam ni kb 20 tu
Hizi za huyu hazisomi kabisa yaani hana kitu.
Asumpta Mshana na mwenzie Mriam ni kb 20 tu
Msigwa mwenyewe ni MB 8.
Mbunge wa Iringa Mjini-CHADEMA,Mchungaji Peter Msigwa amesema kuwa asilimia 80 ya wabunge walioko bungeni kwasasa hawakupaswa kuwepo hapo. Msigwa amedai wabunge wengi wana akili ndogo alioufananisha na GB 1.
Mchungaji Msigwa alikuwa akizungumza na wahariri na waandishi wa Mwananchi Communications. Zaidi ni ukurasa wa 2 Mwananchi.
na hata wana jf na wenyewe ni v bites manake mmekuwa brain washed na siasa za mkumbo.
as the matter of facts sikuona hata umuhimu w akuleta uzi kama huu hapa manake yeye mwenyewe alosema ni miongoni mwa hao mapoyoyo so why should we wast our time discussing people?
this kinda of simple minds
as GT lets discuss ideas