Msigwa: Asilimia 80 ya wabunge hawafai

Msigwa: Asilimia 80 ya wabunge hawafai

Hiv Msigwa mwenyewe anajiona akil kubwa kuhamasisha wanairinga kuandamana bila ya sababu ya msingi..? Au kusimamisha gar yake pale Kilolo na kumsubir ampige mama wa Ccm ndo akil kubwa...?
 
Wabunge wakiongozwa na spika mwenye KB 250
 
Wabunge wote wa CCM ubongo wao in total ni 128 KB, wajiandae kwenda kulima baada ya oktoba.
 
Mbunge wa Iringa Mjini-CHADEMA,Mchungaji Peter Msigwa amesema kuwa asilimia 80 ya wabunge walioko bungeni kwasasa hawakupaswa kuwepo hapo. Msigwa amedai wabunge wengi wana akili ndogo alioufananisha na GB 1.

Mchungaji Msigwa alikuwa akizungumza na wahariri na waandishi wa Mwananchi Communications. Zaidi ni ukurasa wa 2 Mwananchi.

Yeye mwenyewe ni mb 8
 
yeah, just like lema, sugu, maji marefu etc

Wenye MB ndogo sana niwabunge wa Ccm kama akina Mama Asumputa.Kitendo cha hao uliowataja kuwa upinzani nidhahiri kwamba wana GB kwa sababu wanajitambua wanajua wanastahili kuwa wapi
 
Wazo la Msigwa si la kupuuzwa hata kama yeye MB zake ni chache lakini ujumbe ni kuwa tuchague watu waelewa watuwakilishe bungeni weka pembeni ushabiki wa chama mpigie kura ya ndio mtu unayeeona ana upeo wa kutosha mwenye uwezo wa kuchanganua mambo.
 
Kuna wengi hata GB 1 hawafikii,kama lusinde ni MB 250.[/QUOTE

Rasimu ya katiba ya Warioba ilikuwa inatuondolea hawa vilaza kwenye bunge kwa kupandisha viwango vya elimu hitajika kwa wale ambao wangeomba kuwa wabunge; lakini hawa magamba katika Rasimu yao iliyotungwa na fisadi Chenge wanapendekeza mtu awe na elimu ya darasa la nne ili mradi ajue kusoma na kuandika!!! Siku hizi elimu ya Form four ndio minimum qualification ya muhudumu ofisini na mtu yeyote anayeomba kazi ya kuwa dereva; sasa haingii akilini kuwa qualifications za kuwa mbunge ziwe chini kuliko qualifications za muhudumu wa ofisini!! Magamba wanafanya njama zote hizo ili kuwa na wabunge illiterate ambao watafanikisha kupitisha miswada yao bungeni ya kifisadi kiurahisi at the expense of national dvelopment!. Chama cha Magamba chini ya uongozi wa DHAIFU wanapenda kutawala kwa gharama yeyote ile lakini hawaipendi nchi hii na maendeleo yake na ndio maana wanaifisidi.
 
Back
Top Bottom