Chadema Polisi na Mahakamani ni kama Sebuleni au chumbani,,ni lazima uingie - Dr.Silaa
Mbona yeye haingii? anadanganya wenzake huku akipalilia mil.12 kwa mwezi.
Chadema Polisi na Mahakamani ni kama Sebuleni au chumbani,,ni lazima uingie - Dr.Silaa
Kawaponza wenzake, kesho anakwenda kula bata DOM wao wanajificha ndani kama wametoka jando.
SLAA asikusikie, ana kadi ya CCM wewe, pale CDM anganga njaa, chezea mil.12 kwa mwezi wewe.
jana aliuza SOKSI ngapi?
jana aliuza SOKSI ngapi?
Popooooozzzzz bawaaaaaaa!!!!!!!!!!!
Mbunge wa Iringa mjini Mh.Peter Msigwa ametimiza masharti ya dhamana huku wengine 60 wakimalizia taratibu zakupewa dhamana.
Hawa polisi nao....wanatumia miguvu kukamata watu na baadaye wanapata dhamana na kurudi jukwaani na kesi inabaki kutajwa tu....wanasafirisha bhange kwa kutumia usafiri wa geshi lao...wanapiga mabomu wavuta bangi karibu na nyumba za ibada...halafu wanatangaza kutii sheria bila shurti....wanataka ulinzi shirikishi wakati hawataki kushiriki...swali, polisi wa mataifa mengine nao wako hivi au ni watz tu?
Mzee Mandela alisimama kwenye ukweli. Ila huyu Mchungaji ana pigania mkate wake 2015
Yan ni bora ya sungusungu enzi za mrema kuliko police/ulinzi shirikishi wa sasaaaaaaaaaaa
Kamuhanda kutolewa pale ni ndoto, kwani ni mengi anayajua ya baba yetu.
huyu badala ya kumrudisha mtaani wangemkimbiza mirembe faster.
Mbona yeye haingii? anadanganya wenzake huku akipalilia mil.12 kwa mwezi.
Mwenyezi MUNGU yuu upande wako msigwa wala usihofu.
MBONA MIJI MINGINE MFANO DODOMA,SHINYANGA NA SUMBAWANGA WAMACHINGA WAMEJAA TELE KILA KONA..MBONA HAWAONDOLEWI??KULIKONI IRINGA MJINI AU NDO SIASA ZA MAJI TAKA?