MSIGWA apata dhamana

MSIGWA apata dhamana

alichokuwa/anachoongelea ni kweli tupu sema kuna watu wameshaset vichwa vyao kukataa chochote mradi 'mkuu kasema kataa'.
Ingelikuwa mbaya kama wangekamatwa wamachinga pekee maana propaganda zingeenea kuwa "yeye yuko anatesa na amewadanganya nyie mnapata shida". Huo ndio mfano wa kutetea wanyonge maana ukitetea mafisadi daima utalala Kempiski na kwingineko na sio polisi/magereza
 
Hatuna Jeshi la polisi; tuna genge la waarifu.
 
arusha gari la polisi limekamatwa na magunia 18 bangi
 
CCM ni janga la taifa.

hiyo karibia episode ya 200, tulishachoka nazo, sema lingine watanzania wana macho hawadanganywi kihivyo mkuu, nakumbuka kuna siku Mwenyekiti wenu MBOYE alisikika akisema kule Iringa kuwa imefika wakati CDM muache siasa za vurugu na matusi na kejeli kumbe wewe haukuinyaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom