Chadema ni janga la taifaCCM ni janga la taifa.
Mkuu, kule vijana hawaangaliagi mtu usoni
mkuu hakuna jeshi la police bali wezi,na genge kubwa la wahalifu..tunahitaji kuondokana na mfumo mzima wa ccm..kila kitengo kimeoza,rejea meremeta.arusha gari la polisi limekamatwa na magunia 18 bangi
Popooooozzzzz bawaaaaaaa!!!!!!!!!!!Msigwa Peopleeeeeeeeeeeeeesssssssssssssssss
Huyu badala ya kumrudisha mtaani wangemkimbiza Mirembe faster.
Walisha sumu nao inabidi wabanwe mpaka waishemkuu hakuna jeshi la police bali wezi,na genge kubwa la wahalifu..tunahitaji kuondokana na mfumo mzima wa ccm..kila kitengo kimeoza,rejea meremeta.
mkuu hakuna jeshi la police bali wezi,na genge kubwa la wahalifu..tunahitaji kuondokana na mfumo mzima wa ccm..kila kitengo kimeoza,rejea meremeta.
Mzee Mandela alisimama kwenye ukweli. Ila huyu Mchungaji ana pigania mkate wake 2015
Walisha sumu nao inabidi wabanwe mpaka waishe
Wamepatikana mkuuwamepatia mkuu!
Kwani ww ni mke wa nani
Lwax aka bukoba boy videoMimi namjua Benigina peke yake, wengine ni akina nani? hebu tujuze mkuu.
si mbaya kwa sababu wewe ni kiona mioyo...cc iringa hatujawahi pata mb kama huyu wote waliopita walikuwa wazee wa ndio!! hata kama anatetea mkate wake na sisi tunafaidika kwa viwango tulivyomkadiria sio mbaya na hajashuka viwango tulivyompimia akizi zaidi bora zaidi kwetu...
duh, huyu jamaa na huku yupo? kazi kweli kweli.Lwax aka bukoba boy video
Kawaponza wenzake, kesho anakwenda kula bata DOM wao wanajificha ndani kama wametoka jando.Mbunge wa Iringa mjini Mh.Peter Msigwa ametimiza masharti ya dhamana huku wengine 60 wakimalizia taratibu zakupewa dhamana.
siku hizi kulala polis sio kazi, ccm haijui kuwa inazidi kutukomaza.!!
hapana huku uraiani ndiko kunamfaa, ili vijana wampasulie mayai tena, si unaona walivyowahi kumtoa kule kwa wenyewe.
CCM ni janga la taifa.
Nasikia katoka ana nundu usoni , eti alikuwa anajifanya sharo akapewa za uso aliyemuona atujuze.