Msigwa alisomea wapi uchungaji?

Hili jamaa boya sana...juzi kati alipokuwa bongo nilisafiri nae kwenye hivi vindege vidogo kwenda sehemu fulani ya Tz,niligundua Lukosi ni kiazi sana
 
Mh.mchungaji msigwa alisomea uchungaji south Africa.

Mla rambi rambi za mwangosi acha wivu wa kike na chuki binafsi kwa mh.mchungaji msigwa....jimbo la iringa mjini utaendelea kuota tuu
 
Maana yangu ni kuwa kuna vitu silazim a ukavisomee ikiwemo uchungaji na ualimu.
Astaghafiruallah! unawafananisha hawa Watukufu na huyu muhuni ama kweli "kukishangaa ya Mussa utayaona ya Firauni" kafanye toba haraka kabla ya jua halijazama.
 
mwizi wa rambirambi boksi unapigaga saa ngapi sababu mda wote umo humu unarusha pumba hewani!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ndugu zanguni,

Kwa wale mnaojua siasa za siku hizi nadhani jina la Msigwa sio geni masikioni mwenu.

Mimi binafsi namfahamu Msigwa toka enzi zile alipoikuwa akipiga shoe shine pale kihesa, then akafungua kiduka/kioski cha kuuza chumvi mafuta ya taa nk pale kihesa.

Mambo yalipozidi kuwa magumu ghafla nikasikia Msigwa kawa mchungaji na leo mbunge.

Najua ubunge aliupata baada ya wananchi wa Iringa kuamua kuchagua jiwe kwa hasira ya kukataliwa mtu wao, lakini hili suala la uchungaji lilikujaje?

Msigwa alisomea wapi huu uchungaji?

Aliteuliwa na nani?

Naomba wale wanaomfahamu vyema mchungaji wetu wanijuze

JITAMBUE!

alikua akitembea na biblia mkononi akupiga kelele bara barani maeneo ya sokoni na posta mpaka akapata kondoo wa kumsikiliza akapanda cheo na kuwa mchungaji...siku hizi ukitaka mke wa mtu basi kuwa mchungaji
 
Ndugu zanguni,

Kwa wale mnaojua siasa za siku hizi nadhani jina la Msigwa sio geni masikioni mwenu.

Mimi binafsi namfahamu Msigwa toka enzi zile alipoikuwa akipiga shoe shine pale kihesa, then akafungua kiduka/kioski cha kuuza chumvi mafuta ya taa nk pale kihesa.

Mambo yalipozidi kuwa magumu ghafla nikasikia Msigwa kawa mchungaji na leo mbunge.

Najua ubunge aliupata baada ya wananchi wa Iringa kuamua kuchagua jiwe kwa hasira ya kukataliwa mtu wao, lakini hili suala la uchungaji lilikujaje?

Msigwa alisomea wapi huu uchungaji?

Aliteuliwa na nani?

Naomba wale wanaomfahamu vyema mchungaji wetu wanijuze

JITAMBUE!

Bro usitafute umaarufu hapa.Kama siasa huwezi karibu kuvua samaki huku nyasa.
 
Ndugu zanguni,

Kwa wale mnaojua siasa za siku hizi nadhani jina la Msigwa sio geni masikioni mwenu.

Mimi binafsi namfahamu Msigwa toka enzi zile alipoikuwa akipiga shoe shine pale kihesa, then akafungua kiduka/kioski cha kuuza chumvi mafuta ya taa nk pale kihesa.

Mambo yalipozidi kuwa magumu ghafla nikasikia Msigwa kawa mchungaji na leo mbunge.

Najua ubunge aliupata baada ya wananchi wa Iringa kuamua kuchagua jiwe kwa hasira ya kukataliwa mtu wao, lakini hili suala la uchungaji lilikujaje?

Msigwa alisomea wapi huu uchungaji?

Aliteuliwa na nani?

Naomba wale wanaomfahamu vyema mchungaji wetu wanijuze

JITAMBUE!

hivi we we ni mkristo au una jina la kikristo?
 
"watanzania hawatamchagua mtu kutokana na dini yake,kabila lake wala mahala anapotoka" mwl nyerere...we unataka kutupeleka wapi???????????
 
NI kichaa tu,
NDIE ANAYEWWZA KUHOJI MATOKEOA KAMA HAYA.
INGEKUA VIZURI KAMA UNGEBAISHA NI KIPI ULICHOKISHANGAA KWAKE. MSIGWA PASTOR NA MBUNGE NI KATI YA WANASIASA WENYE KARSIMA YA KIPEKEE KATIKA TANZANIA,WW ENDELEA KUBEBA BOX
 
Ndugu zanguni,

Kwa wale mnaojua siasa za siku hizi nadhani jina la Msigwa sio geni masikioni mwenu.

Mimi binafsi namfahamu Msigwa toka enzi zile alipoikuwa akipiga shoe shine pale kihesa, then akafungua kiduka/kioski cha kuuza chumvi mafuta ya taa nk pale kihesa.

Mambo yalipozidi kuwa magumu ghafla nikasikia Msigwa kawa mchungaji na leo mbunge.

Najua ubunge aliupata baada ya wananchi wa Iringa kuamua kuchagua jiwe kwa hasira ya kukataliwa mtu wao, lakini hili suala la uchungaji lilikujaje?

Msigwa alisomea wapi huu uchungaji?

Aliteuliwa na nani?

Naomba wale wanaomfahamu vyema mchungaji wetu wanijuze

JITAMBUE!

Wewe ulipata wapi ujasiri wa kula hela za rambi rambi ya Mwangosi? Na umepata wapi mamlaka ya kukusanya rambirambi za Mabina?
 
Ndugu zanguni,

Kwa wale mnaojua siasa za siku hizi nadhani jina la Msigwa sio geni masikioni mwenu.

Mimi binafsi namfahamu Msigwa toka enzi zile alipoikuwa akipiga shoe shine pale kihesa, then akafungua kiduka/kioski cha kuuza chumvi mafuta ya taa nk pale kihesa.

Mambo yalipozidi kuwa magumu ghafla nikasikia Msigwa kawa mchungaji na leo mbunge.

Najua ubunge aliupata baada ya wananchi wa Iringa kuamua kuchagua jiwe kwa hasira ya kukataliwa mtu wao, lakini hili suala la uchungaji lilikujaje?

Msigwa alisomea wapi huu uchungaji?

Aliteuliwa na nani?

Naomba wale wanaomfahamu vyema mchungaji wetu wanijuze

JITAMBUE!


JITAMBUE NDG!!

Ndio maana nasema akili zako ziko nyuma ya mwili!

Hoja ni ipi hapo?

Ulikua Kikosi cha MIZINGA nini?!
 
Maana yangu ni kuwa kuna vitu silazim a ukavisomee ikiwemo uchungaji na ualimu.
Hawa watukufu walisomeshwa kupitia ROHO MTAKATIFU na kwa waislamu wanasema MALAIKA JIBIR. Sasa huyu muhuni Msingwa naweza kushukiwa na Roho mtakatifu au Malaika Jibir ambaye kwa sasa hashuki tena ameshamaliza kazi yake. Kijana chunga sana usiwalinganishe watukufu na muhuni.

 
Back
Top Bottom