hici kikauli kimeniboa sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana,
ccm ndo chama cha msimu kwani kila msimu wa uchanguzi, wanapika pilau, wanagawa kofia, wanasikiliza wananchi, wanalia lia,
CDM ni chama makini, kama unavyoona shughuli za chama ndo izo hapo then unakiita chama ca msimu ,
MKUU FUTA IYO KAULI AISEEEE