ukweli unabaki pale pale.. Hapa duniani hakuna mtaalamu wa ndoa.
Kuna wanaooana kwa mapenzi.. Ndoa zinawashinda
kuna wanaooana kwa mapenzi.. Ndoa zinadumu
kuna wanaooana bila mapenzi... Ndoa zinawashinda
kuna wanaooana bila mapenzi.. Ndoa zinadumu
kuna wanaoendana tabia kama mapacha.. Ndoa zinawashinda
kuna wasioendana kabisaaaaa.. Ndoa zinadumu
kuna wanaoishi kwa mazoea.. Ndoa zinadumu
kuna ambao hata hawajui kwanini walioana.. Ndoa zinadumu!
Kuna wanaochunguzana miaka kumi.. Ndoa zinawashinda
kuna ambao hawaoani kabisa.. Wanaishi tu.. Miaka nenda rudi hawana tatizo.. Wako happy
kuna wanaokutana na kuoana ndani ya miezi miwili.. Ndoa zinadumu.....nakadhalika.. Nakadhalika.
And vice versa
bottom line:
1. Kama unataka kuoa/olewa fanya hivyo pale utakapohamua. Kama hutaki/hujaamua acha.
2. Kama uko kwenye ndoa, live each day as it comes. Enjoy the moment
3. Kama ndoa yako ina amani, mshukuru mungu wako.. Usiseme ni kwasababu nilifanya hivi.. Au nilifanya vile..
4. Ukioa/olewa ishi the best way unavyojua wewe. The end will justify the means
5. Mwisho, kumbuka ndoa ni artificial sio natural. Naturally, binadamu hauko wired kuishi na mtu mwingine for the rest of your life.
tunaoana ili kubadilisha marital status zetu tu nothing more
Ume hit the nail. Watafanya all kinds of research and studies still result will be the same Ndoa haina formula.Ukweli unabaki pale pale.. Hapa duniani hakuna mtaalamu wa ndoa.
Kuna wanaooana kwa mapenzi.. ndoa zinawashinda
Kuna wanaooana kwa mapenzi.. ndoa zinadumu
Kuna wanaooana bila mapenzi... ndoa zinawashinda
Kuna wanaooana bila mapenzi.. ndoa zinadumu
Kuna wanaoendana tabia kama mapacha.. ndoa zinawashinda
Kuna wasioendana kabisaaaaa.. ndoa zinadumu
Kuna wanaoishi kwa mazoea.. ndoa zinadumu
Kuna ambao hata hawajui kwanini walioana.. ndoa zinadumu!
Kuna wanaochunguzana miaka kumi.. ndoa zinawashinda
Kuna ambao hawaoani kabisa.. wanaishi tu.. miaka nenda rudi hawana tatizo.. wako happy
Kuna wanaokutana na kuoana ndani ya miezi miwili.. ndoa zinadumu.....nakadhalika.. nakadhalika.
AND VICE VERSA
Bottom line:
1. Kama unataka kuoa/olewa fanya hivyo pale utakapohamua. Kama hutaki/hujaamua ACHA.
2. Kama uko kwenye ndoa, live each day as it comes. Enjoy the moment
3. Kama ndoa yako ina amani, mshukuru Mungu wako.. usiseme ni kwasababu nilifanya hivi.. au nilifanya vile..
4. Ukioa/olewa ishi the best way unavyojua wewe. The end will justify the means
5. Mwisho, kumbuka ndoa ni ARTIFICIAL sio natural. Naturally, binadamu hauko wired kuishi na mtu mwingine for the rest of your life.
Mi naona tunadanganyana tu hapa. Wacha nikalewe huko Kiloleni...hakuna mtu ataniambia anajua sana ndoa ni nn...wewe nakushauri oa binti mzuri basi. Mengine baadae. Washkaji eehh mnaniboa mie nasepa...Lara1 niPM nikupe ratiba ya leo...
Kanuni za ndoa...kanuni sijui taratibu za ndoa..wewe ulishaziona?? Ama ulimbukeni tu. Halafu nina hasira na wanaojifanya wanajua ndoa ilhali wake zao kunguru tu...ni sawa na mlevi bora afiche hela akalewe kuliko wanae wale wali nyama. Kanuni kanuni..taratibu taratibu...we gegeda tu hio ndio kanuni...sasa kama kuna kanuni kwa nn watu kibao ndoa zinawaliza kisha wanagundua wake zao wana wahuni tu wanawagegeda hadi wanacheua...kutwa watu wanakula nazi na karanga...wakimshika mama papuchii hadi haoni mbele...balaa...mi naenda kulewa jamani...
Nazjaz...tuko pamoja...hawa jamaa wanapotosha ukweli...mi naenda ulevini jamani...
Leo ni jumapili karibu asilimia kubwa ya walioko kwenye mahusiano yoyote watakutana leo
Hebu kwa wale mnaokutana leo jaribuni kujiuliza hili:
Hivi mapenzi tu ndo ynatosha kutufanya mimi na wewe kuoana?
Binafsi kuna kitu nimejifunza kwenye haya mambo
Watu wanaoana kwakuwa wana hisia hizi
Kila mmoja kwa mwenzake lakini baada ya muda wanaachana au wanaishi kwenye ndoa ya kimazoea tu huku kila mmoja akiwa na mahusiano nje
Kwanini?
FIKRA ZANGU KUHUSU HILI:
Mapenzi ni hisia tu kuna wakati zinatoweka na hapa zinapotoweka ndipo matatizo huanza,mimi nadhani inatakiwa watu kabla hawajaoana wanatakiwa wawe na kigezo zaidi ya hiki
Ndoa ni mahusiano ya maisha yote sio kipindi fulani tu hivyo unapoamua kuoana na mtu ni bora ukajiuliza kuhusu maisha yako yote yaliyobakia kuanzia hapo unapofunga ndoa
Mimi nadhani kuna jambo la muhimu,nalo ni mtazamo wa kila mmoja kuhusu maisha zaidi,hapa kunakuwa na mambo mengi sana kama vile malengo ya kimaisha,mazingira,familia na zaidi imani za wahusika n.k
Hua inafikia mahali wanandoa wanakuwa hawaitaji tena mapenzi kwa wenza wao kama kiunganishi kilikuwa ni hicho tu mahusiano yao yanayumba na kunakuwa na ufa mkubwa sana baina yao
Ni muhimu kuwe na zaidi ya kitu kimoja kinachowaunganisha,na kitu hiki kinatakiwa kisiwe ca muda mfupi,mapenzi yamekuwa kama ni kigezo cha mtu kuoana,lakini nyakati za mababu zetu walitazama mambo mengi sana
Kuna bibi mmoja aliniambia wakati anachumbiwa wale wapelelezi walikuja kukagua kama anaweza kufanya kazi[kulima],ana heshima,anajua kupika n.k
Nyakati hizi ni kama mapenzi hayakuwa kigezo na watu walizeeka wakiwa kwenye ndoa
Hebu jaribuni kujiuliza hili!!!!!!!!!
Leo ni jumapili karibu asilimia kubwa ya walioko kwenye mahusiano yoyote watakutana leo
Hebu kwa wale mnaokutana leo jaribuni kujiuliza hili:
Hivi mapenzi tu ndo ynatosha kutufanya mimi na wewe kuoana?
Binafsi kuna kitu nimejifunza kwenye haya mambo
Watu wanaoana kwakuwa wana hisia hizi
Kila mmoja kwa mwenzake lakini baada ya muda wanaachana au wanaishi kwenye ndoa ya kimazoea tu huku kila mmoja akiwa na mahusiano nje
Kwanini?
FIKRA ZANGU KUHUSU HILI:
Mapenzi ni hisia tu kuna wakati zinatoweka na hapa zinapotoweka ndipo matatizo huanza,mimi nadhani inatakiwa watu kabla hawajaoana wanatakiwa wawe na kigezo zaidi ya hiki
Ndoa ni mahusiano ya maisha yote sio kipindi fulani tu hivyo unapoamua kuoana na mtu ni bora ukajiuliza kuhusu maisha yako yote yaliyobakia kuanzia hapo unapofunga ndoa
Mimi nadhani kuna jambo la muhimu,nalo ni mtazamo wa kila mmoja kuhusu maisha zaidi,hapa kunakuwa na mambo mengi sana kama vile malengo ya kimaisha,mazingira,familia na zaidi imani za wahusika n.k
Hua inafikia mahali wanandoa wanakuwa hawaitaji tena mapenzi kwa wenza wao kama kiunganishi kilikuwa ni hicho tu mahusiano yao yanayumba na kunakuwa na ufa mkubwa sana baina yao
Ni muhimu kuwe na zaidi ya kitu kimoja kinachowaunganisha,na kitu hiki kinatakiwa kisiwe ca muda mfupi,mapenzi yamekuwa kama ni kigezo cha mtu kuoana,lakini nyakati za mababu zetu walitazama mambo mengi sana
Kuna bibi mmoja aliniambia wakati anachumbiwa wale wapelelezi walikuja kukagua kama anaweza kufanya kazi[kulima],ana heshima,anajua kupika n.k
Nyakati hizi ni kama mapenzi hayakuwa kigezo na watu walizeeka wakiwa kwenye ndoa
Hebu jaribuni kujiuliza hili!!!!!!!!!
Baada ya kusoma maoni ya watu nimebaki na swali...kwani ukimpenda mtu unakuwa umependa nini hasa?????????????
Unajua unaweza kumpenda mtu sababu ya tabia au muonekano au basi tu hata sababu huna.
Kumpenda mtu kwa muonekano mara nyingi ni kumtamani...lust...lakini ndio mwanzo wa mapenzi ya kweli au kuonjana tu.
Sidhani kama kuna mtu humu ata feel proud kujua mwenza wake alimtamani...kila mtu angependa kujua kuwa kuna cha ziada kilichofanya achaguliwe yeye badala ya yule...kama ni muonekano tuuuu; what if ataonekana mwingine?
Ukiwa na cha ziada unakuwa more secured.
Huyo anayejisifu kujua kugegeda...what if akiugua magonjwa yanayotumia dawa kali ulijali wake ukapungua...?
Marriage is not only about sex wajameni...ni union ya mambo mengi saana unless mnazungumzia hizi za dot.com
Leo ni jumapili karibu asilimia kubwa ya walioko kwenye mahusiano yoyote watakutana leo
Hebu kwa wale mnaokutana leo jaribuni kujiuliza hili:
Hivi mapenzi tu ndo ynatosha kutufanya mimi na wewe kuoana?
Binafsi kuna kitu nimejifunza kwenye haya mambo
Watu wanaoana kwakuwa wana hisia hizi
Kila mmoja kwa mwenzake lakini baada ya muda wanaachana au wanaishi kwenye ndoa ya kimazoea tu huku kila mmoja akiwa na mahusiano nje
Kwanini?
FIKRA ZANGU KUHUSU HILI:
Mapenzi ni hisia tu kuna wakati zinatoweka na hapa zinapotoweka ndipo matatizo huanza,mimi nadhani inatakiwa watu kabla hawajaoana wanatakiwa wawe na kigezo zaidi ya hiki
Ndoa ni mahusiano ya maisha yote sio kipindi fulani tu hivyo unapoamua kuoana na mtu ni bora ukajiuliza kuhusu maisha yako yote yaliyobakia kuanzia hapo unapofunga ndoa
Mimi nadhani kuna jambo la muhimu,nalo ni mtazamo wa kila mmoja kuhusu maisha zaidi,hapa kunakuwa na mambo mengi sana kama vile malengo ya kimaisha,mazingira,familia na zaidi imani za wahusika n.k
Hua inafikia mahali wanandoa wanakuwa hawaitaji tena mapenzi kwa wenza wao kama kiunganishi kilikuwa ni hicho tu mahusiano yao yanayumba na kunakuwa na ufa mkubwa sana baina yao
Ni muhimu kuwe na zaidi ya kitu kimoja kinachowaunganisha,na kitu hiki kinatakiwa kisiwe ca muda mfupi,mapenzi yamekuwa kama ni kigezo cha mtu kuoana,lakini nyakati za mababu zetu walitazama mambo mengi sana
Kuna bibi mmoja aliniambia wakati anachumbiwa wale wapelelezi walikuja kukagua kama anaweza kufanya kazi[kulima],ana heshima,anajua kupika n.k
Nyakati hizi ni kama mapenzi hayakuwa kigezo na watu walizeeka wakiwa kwenye ndoa
Hebu jaribuni kujiuliza hili!!!!!!!!!
Hakuna mtu yeyote asiyeweza kuishi bila mtu mwingine ambaye wamekutana ukubwani. Those are poor minds illusions and lack of stability. Katika umri fulani kila mtu huishi akiamini hivyo. later on, as you grow old and matured utaona kuwa yote hayo yalikuwa vichekesho vya akili za kitoto.
Ukweli unabaki pale pale.. Hapa duniani hakuna mtaalamu wa ndoa.
Kuna wanaooana kwa mapenzi.. ndoa zinawashinda
Kuna wanaooana kwa mapenzi.. ndoa zinadumu
Kuna wanaooana bila mapenzi... ndoa zinawashinda
Kuna wanaooana bila mapenzi.. ndoa zinadumu
Kuna wanaoendana tabia kama mapacha.. ndoa zinawashinda
Kuna wasioendana kabisaaaaa.. ndoa zinadumu
Kuna wanaoishi kwa mazoea.. ndoa zinadumu
Kuna ambao hata hawajui kwanini walioana.. ndoa zinadumu!
Kuna wanaochunguzana miaka kumi.. ndoa zinawashinda
Kuna ambao hawaoani kabisa.. wanaishi tu.. miaka nenda rudi hawana tatizo.. wako happy
Kuna wanaokutana na kuoana ndani ya miezi miwili.. ndoa zinadumu.....nakadhalika.. nakadhalika.
AND VICE VERSA
Bottom line:
1. Kama unataka kuoa/olewa fanya hivyo pale utakapohamua. Kama hutaki/hujaamua ACHA.
2. Kama uko kwenye ndoa, live each day as it comes. Enjoy the moment
3. Kama ndoa yako ina amani, mshukuru Mungu wako.. usiseme ni kwasababu nilifanya hivi.. au nilifanya vile..
4. Ukioa/olewa ishi the best way unavyojua wewe. The end will justify the means
5. Mwisho, kumbuka ndoa ni ARTIFICIAL sio natural. Naturally, binadamu hauko wired kuishi na mtu mwingine for the rest of your life.